Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara zinajengwa
Mpaka sasa nenda Mataa pale Tazara wapo busy.
Reli ipi unazungumzia !!
Nairobi wana Reli ya mkoloni ambaya hata Dar ipo
Japo wapo kwenye kakipisi ka SGR ka Mombasa to Nairibi
Bado haija fanya kazi kuizungumzia hiyo!!
Hata sisi tenda lipo hewani
Na wakandarasi tayari wamesha jitokeza
Tunaanza na Dar to Moro mwaka huu.

Hakuna kipya Nairobi Dar hakuna kwa sasa
Welawele Dar!
 
culture and lifestyle NAIROBI I'll start....
MAASAI CULTURE
nairobi_maasai500.jpg

SKATING CULTURE IN THE CITY
nairobi-skates-main-5807-e1470057441414.jpg


MAASAI MARKET NAIROBI
maasai-market-nairobi.jpg
 
Ok. Niambie mwenyewe. Who is winner?

Angalia jibu langu kwa Jaywat456. Konza na Tatu city hata bila kuweka hii miradi ingine ishashinda. Kumbuka pia kuwa miradi ya Kenya imetengewa pesa nyingi kwa vile ni kubwa zaidi
 
Angalia jibu langu kwa Jaywat456. Konza na Tatu city hata bila kuweka hii miradi ingine ishashinda. Kumbuka pia kuwa miradi ya Kenya imetengewa pesa nyingi kwa vile ni kubwa zaidi
KWAHIVYO UMEKUBALI TUMESHINDA KWA PROPOSED?
 
Na hiyo evalution ikifanywa ijulikane kua Konza city itakua na wakaazi 230,000 na Tatu City 70,000. Kuna shule, hospitali, maakazi, barabara zao etc
Kigamboni itakua na wakaazi 500k vyuo vikuu hospital hotels offices industrial areas kiufupi ndio hivyo.....
anything else....
 
Na hiyo evalution ikifanywa ijulikane kua Konza city itakua na wakaazi 230,000 na Tatu City 70,000. Kuna shule, hospitali, maakazi, barabara zao etc
Ndugu unajivunia kitu kidogo sana. Nimecheki hiyo video. Nakuiliza tu. Je imetazama video ya Kigamboni New City?
Yaani hiyo Konza inaingia mara 10. Hebu wewe icheck video ya Kigamboni kisha urudi hapa. Mimi ninazipitia video mkiweka. Kama vipi nawapa muda mpitie hizo video.
 
MATATU CULTURE NO NEED...I'LL PASS ON TO NIGHTLIFE..I BELIEVE IT FALLS UNDER LIFESTYLE
casablanca_nairobi.jpg
Night-Club.jpg
CLUB1-horz.jpg
TreeHouse-Club-Nairobi.jpg
TreeHouse-Club-Nairobi.jpg
1104.jpg
 
MATATU CULTURE NO NEED...I'LL PASS ON TO NIGHTLIFE..I BELIEVE IT FALLS UNDER LIFESTYLE
casablanca_nairobi.jpg
Night-Club.jpg
CLUB1-horz.jpg
TreeHouse-Club-Nairobi.jpg
TreeHouse-Club-Nairobi.jpg
1104.jpg
Rudi kwenye point kwanza usikimbie. Fanya evaluation kwanza. Twende kwa utaratibu.
 
TOURISM WELCOMING CULTURE
28e452b432684bd54f613e621ca26416.jpg
1456331846.jpg
pr_20150803_004-1.jpg
bike%20share.jpg
kenyadancebomas5.jpg
Asanti_Dance_Theatre.jpg
Asanti_Dance_Theatre.jpg
Hope-Theatre-Nairobi-in-Bochum-5.jpg
Yaani na picha za burundi umeweka. Duh!! Huoni hata bendera ya burundi? Ndugu acha hizo sasa. Twende na fact. Unapochukua picha za nchi zingine sio vizuri.
 
Some more culture


1. The largest Jazz festival in Africa. Safaricom Jazz festival. This year’s Safaricom International Jazz Festival started with a bang with three time Grammy Award winning Branford Marsalis gracing our stage on the 21st of February 2016. He wasn’t the only act, with additional performances from Jef Neve, Giampaolo Nuti & Francesco D’Orazio, Maya Beltsitzman & Matan Ephrat, Sons of Kemmet & Siya Makuzeni. We were also proud to bring back Kunle Ayo, AfroSync & Edward Parseen and the Different Faces Band.

Safaricom-Jazz-Festival-2015-27.jpg
Let-Kasiva-juju-you.jpg
Safaricom-Jazz-4.jpg
images.jpeg
bob-collymore-boggies-960x636.jpg
11987048_10156021110090084_6110201412057943962_n.jpg
maxresdefault (1).jpg
maxresdefault.jpg
salif-jazz.jpg
fans-safaricom-jazz-festival-38375482.jpg
DSC_0318-001.jpg
Safaricom-Jazz-Festival-5.jpg
Safaricom-Jazz-6.jpg
Safaricom-Jazz-festival-2015.jpg
4.jpg
DAG_6187.jpg
DAG_6187-2.jpg
DAG_6141.jpg
 
Rudi kwenye point kwanza usikimbie. Fanya evaluation kwanza. Twende kwa utaratibu.
SIJUI ALIYESHINDA KWANI SOTE TUNA PROPOSED NYINGI...ILA KWA QUALITY OF THE PROPOSED PROKECTS NAIPA NAIROBI....HAVE YOU SEEN THOSE CITIES, SKYSCRAPERS NI TALLEST IN AFRICA SO ATA NO NEED TO COMPARE
 
Yaani na picha za burundi umeweka. Duh!! Huoni hata bendera ya burundi? Ndugu acha hizo sasa. Twende na fact. Unapochukua picha za nchi zingine sio vizuri.
PICHA MOJA HIO IMESLIP IT WASNT INTENTIONAL...WEKA ZAKO BASI
 
Back
Top Bottom