msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Welawele Dar!Barabara zinajengwa
Mpaka sasa nenda Mataa pale Tazara wapo busy.
Reli ipi unazungumzia !!
Nairobi wana Reli ya mkoloni ambaya hata Dar ipo
Japo wapo kwenye kakipisi ka SGR ka Mombasa to Nairibi
Bado haija fanya kazi kuizungumzia hiyo!!
Hata sisi tenda lipo hewani
Na wakandarasi tayari wamesha jitokeza
Tunaanza na Dar to Moro mwaka huu.
Hakuna kipya Nairobi Dar hakuna kwa sasa