Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Welawele Dar!
 
culture and lifestyle NAIROBI I'll start....
MAASAI CULTURE

SKATING CULTURE IN THE CITY


MAASAI MARKET NAIROBI
 
Ok. Niambie mwenyewe. Who is winner?

Angalia jibu langu kwa Jaywat456. Konza na Tatu city hata bila kuweka hii miradi ingine ishashinda. Kumbuka pia kuwa miradi ya Kenya imetengewa pesa nyingi kwa vile ni kubwa zaidi
 
Angalia jibu langu kwa Jaywat456. Konza na Tatu city hata bila kuweka hii miradi ingine ishashinda. Kumbuka pia kuwa miradi ya Kenya imetengewa pesa nyingi kwa vile ni kubwa zaidi
KWAHIVYO UMEKUBALI TUMESHINDA KWA PROPOSED?
 
Na hiyo evalution ikifanywa ijulikane kua Konza city itakua na wakaazi 230,000 na Tatu City 70,000. Kuna shule, hospitali, maakazi, barabara zao etc
Kigamboni itakua na wakaazi 500k vyuo vikuu hospital hotels offices industrial areas kiufupi ndio hivyo.....
anything else....
 
Na hiyo evalution ikifanywa ijulikane kua Konza city itakua na wakaazi 230,000 na Tatu City 70,000. Kuna shule, hospitali, maakazi, barabara zao etc
Ndugu unajivunia kitu kidogo sana. Nimecheki hiyo video. Nakuiliza tu. Je imetazama video ya Kigamboni New City?
Yaani hiyo Konza inaingia mara 10. Hebu wewe icheck video ya Kigamboni kisha urudi hapa. Mimi ninazipitia video mkiweka. Kama vipi nawapa muda mpitie hizo video.
 
MATATU CULTURE NO NEED...I'LL PASS ON TO NIGHTLIFE..I BELIEVE IT FALLS UNDER LIFESTYLE
 
MATATU CULTURE NO NEED...I'LL PASS ON TO NIGHTLIFE..I BELIEVE IT FALLS UNDER LIFESTYLE
Rudi kwenye point kwanza usikimbie. Fanya evaluation kwanza. Twende kwa utaratibu.
 
TOURISM WELCOMING CULTURE
Yaani na picha za burundi umeweka. Duh!! Huoni hata bendera ya burundi? Ndugu acha hizo sasa. Twende na fact. Unapochukua picha za nchi zingine sio vizuri.
 
Some more culture


1. The largest Jazz festival in Africa. Safaricom Jazz festival. This year’s Safaricom International Jazz Festival started with a bang with three time Grammy Award winning Branford Marsalis gracing our stage on the 21st of February 2016. He wasn’t the only act, with additional performances from Jef Neve, Giampaolo Nuti & Francesco D’Orazio, Maya Beltsitzman & Matan Ephrat, Sons of Kemmet & Siya Makuzeni. We were also proud to bring back Kunle Ayo, AfroSync & Edward Parseen and the Different Faces Band.

 
Rudi kwenye point kwanza usikimbie. Fanya evaluation kwanza. Twende kwa utaratibu.
SIJUI ALIYESHINDA KWANI SOTE TUNA PROPOSED NYINGI...ILA KWA QUALITY OF THE PROPOSED PROKECTS NAIPA NAIROBI....HAVE YOU SEEN THOSE CITIES, SKYSCRAPERS NI TALLEST IN AFRICA SO ATA NO NEED TO COMPARE
 
Yaani na picha za burundi umeweka. Duh!! Huoni hata bendera ya burundi? Ndugu acha hizo sasa. Twende na fact. Unapochukua picha za nchi zingine sio vizuri.
PICHA MOJA HIO IMESLIP IT WASNT INTENTIONAL...WEKA ZAKO BASI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…