Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

muongo sana wewe,hii ndio imekua excuse yako...hakuna mtu amepost kilimani apa.sijaona mirhab ikipostiwa apa....get a life
muongo au hutaki sasa we nilikwambia acha kukariri hii ni dar ya 2017 kazi imeanza kujenga ubungo interchange hutaki au
 
muongo sana wewe,hii ndio imekua excuse yako...hakuna mtu amepost kilimani apa.sijaona mirhab ikipostiwa apa....get a life
hahahaa always hua nawaambia nairobi ni mji mdogo sana na umejengeka sehem moja utake usitake
 
leta iyo picha ya 3 level interchange yenye ilishaanza kujengwa.....you know what am asking.
unaleta ushindani wa kitoto kisa hutaki kiwepo dar kwenu hakipo nilikwambia nyie mumezoea dar ya 90s ndio akili zenu wote
 
unanionyesha jiwe la kulaunch kwahio tungoje mpaka lini ndio utuletew iyo 3 level
nakwambia tyari kazi imeanza huyu jamaa vipi unalazmisha isianze au mbona dar munaiogopa hvo hahahahahah
 
unaleta ushindani wa kitoto kisa hutaki kiwepo dar kwenu hakipo nilikwambia nyie mumezoea dar ya 90s ndio akili zenu wote
if there is anyone out there following this thread they will know who is the fool here...
 
if there is anyone out there following this thread they will know who is the fool here...
hahahah naona dar munaihara hehehehe na bado ziko zingine zipo yanii huu mwaka ni hatari kwa dar kuna vitu nikikuonesha ww utakimbia humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…