muongo au hutaki sasa we nilikwambia acha kukariri hii ni dar ya 2017 kazi imeanza kujenga ubungo interchange hutaki aumuongo sana wewe,hii ndio imekua excuse yako...hakuna mtu amepost kilimani apa.sijaona mirhab ikipostiwa apa....get a life
Hahaaa hukuona picha huko nyuma ?bla bla bla sitaku kusikia leta picha acha maneno
enhhh hio nyimbo kaimba msanii wa kenya nini?😀😀😀😀😀😀😀😀bla bla bla sitaku kusikia leta picha acha maneno
sasa mji umehamishwa vipi??that's nai idiotHahaha...ushahamisha mji.
leta iyo picha APA....Leo sikuachi maana uko na excuses za kilofa.enhhh hio nyimbo kaimba msanii wa kenya nini?😀😀😀😀😀😀😀😀
hahahaa always hua nawaambia nairobi ni mji mdogo sana na umejengeka sehem moja utake usitakemuongo sana wewe,hii ndio imekua excuse yako...hakuna mtu amepost kilimani apa.sijaona mirhab ikipostiwa apa....get a life
nikuletee picha kua kazi imeanza au hahahahahaleta iyo picha APA....Leo sikuachi maana uko na excuses za kilofa.
U shud ask your fellow empty head...where did he got that picture from.sasa mji umehamishwa vipi??that's nai idiot
leta iyo picha ya 3 level interchange yenye ilishaanza kujengwa.....you know what am asking.nikuletee picha kua kazi imeanza au hahahahaha
ndio hio sasa ishaanza rasmi we akili utatia tu hahahahha unaforce kukariri wakat unaelewaleta iyo picha ya 3 level interchange yenye ilishaanza kujengwa.....you know what am asking.
nkt...fujo nyingi.ati same pic,nani alikua amepost mirhab apa?hahahaa always hua nawaambia nairobi ni mji mdogo sana na umejengeka sehem moja utake usitake
unaleta ushindani wa kitoto kisa hutaki kiwepo dar kwenu hakipo nilikwambia nyie mumezoea dar ya 90s ndio akili zenu woteleta iyo picha ya 3 level interchange yenye ilishaanza kujengwa.....you know what am asking.
hahahaha nairobi 696 km sq unataka kufananisha na 1590 km sq huwez kua timamu wewenkt...fujo nyingi.ati same pic,nani alikua amepost mirhab apa?
unanionyesha jiwe la kulaunch kwahio tungoje mpaka lini ndio utuletew iyo 3 levelndio hio sasa ishaanza rasmi we akili utatia tu hahahahha unaforce kukariri wakat unaelewa
rip English....kwa iyo kila picha ipigiwe mahali pamoja ndio ujue ni nairobiU shud ask your fellow empty head...where did he got that picture from.
nakwambia tyari kazi imeanza huyu jamaa vipi unalazmisha isianze au mbona dar munaiogopa hvo hahahahahahunanionyesha jiwe la kulaunch kwahio tungoje mpaka lini ndio utuletew iyo 3 level
if there is anyone out there following this thread they will know who is the fool here...unaleta ushindani wa kitoto kisa hutaki kiwepo dar kwenu hakipo nilikwambia nyie mumezoea dar ya 90s ndio akili zenu wote
picha zinapigwa in different angles unamfanya nani mjinga hapa kwan hatuoni hzo gorofa au hatujuirip English....kwa iyo kila picha ipigiwe mahali pamoja ndio ujue ni nairobi
hahahah naona dar munaihara hehehehe na bado ziko zingine zipo yanii huu mwaka ni hatari kwa dar kuna vitu nikikuonesha ww utakimbia humuif there is anyone out there following this thread they will know who is the fool here...