Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nakwambia tyari kazi imeanza huyu jamaa vipi unalazmisha isianze au mbona dar munaiogopa hvo hahahahahah
this proves you are just one insane soul who is harbouring a lot of bile in you ..umeletea road clearence ya jkia to rironi road apa na ya nyayo interchange ukapinga...unazunguka then unaleta picha ya kulaunch na muonekano wa ubungo.atlst tushaanza nuclear roads nyinyi tuleteeni ayo mawe
 
this proves you are just one insane soul who is harbouring a lot of bile in you ..umeletea road clearence ya jkia to rironi road apa na ya nyayo interchange ukapinga...unazunguka then unaleta picha ya kulaunch na muonekano wa ubungo.atlst tushaanza nuclear roads nyinyi tuleteeni ayo mawe
hahaha we jamaa siwez kukulaumu sana akili yako ww haiko sawa na ukienda kushindana na dar mm nakwambia utajiumiza bure, dar ya 2017 sio dar ya 90s my friend waulize wakenya wenzio waliokuja huku watakueleza vizuri kama ni ile ya 90s au ipi hahahaha kila kitu hutaki kuamini hahahah unataka nn sasa
 
na hio electric train site preparation tayari na inaanza pia hutaki hahhhahahaha majuzi watu wamebomolewa majumba yaliokua kwenye hifadhi ya treni ehehehe pia hutaki hahahahaha naona speed ya dar inakuumizeni kichwa
7.jpg
 
BRT SECTION 3 NA 4 PIA INAANZA NA SITE PREPARATION SIKU NYINGI IKO READY HAHAHAHAHAHAHHA PIA HUTAKI HAHHAHAHAA
 
mko na only 1,754 MW. na mnajidai na electric railway huku less than 25% ndio wako na stima
 
Dar es salaam is only a dramatic version of Mombasa. People better face this.
 
Dar es salaam is only a dramatic version of Mombasa. People better face this.
hhahaha huamini kwa macho hahahah niliwaambia mukitaka kupambana na dar ulete nairobi, mombasa na kisumu alaf muje hapa
 
hhahaha huamini kwa macho hahahah niliwaambia mukitaka kupambana na dar ulete nairobi, mombasa na kisumu alaf muje hapa

Hehehe... Nimefika. Mtu wa "When did you heard," Unasema nini?? I wi ll treat you as thrush.....
 
Hehehe... Nimefika. Mtu wa "When did you heard," Unasema nini?? I wi ll treat you as thrush.....
Hehhehhhe mambo moto tena sio mchezo we tulia mwakani tuwauzie umeme mtumie kuwasha umeme kibera na other largest slums hhahhahah
 
Back
Top Bottom