Kwan nani hajapost aerial kwa ujumla nairobi ni ndogo sana kwa dar na itabaki kua ndogo sanaWajua sisi tunapost kwa ujumla, Aerial views, yaani, tunapost the larger picture, hivyo unavyouliza unataka picha za jumba moja moja ama vipi??
Kama ni hivyo Anneal itachosha kuleta hizo picha hapa sababu ni nyingi vile
Niletee Casinos, Clubs, Foods, Culture area nk.Wajua sisi tunapost kwa ujumla, Aerial views, yaani, tunapost the larger picture, hivyo unavyouliza unataka picha za jumba moja moja ama vipi??
Kama ni hivyo Anneal itachosha kuleta hizo picha hapa sababu ni nyingi vile
Labda alete culture ya wala miraa,thugs,hooligans,thieves hio ndio sifa ya nairobi na kwasababu unemployment rate no kubwa sana nairobiNiletee Casinos, Clubs, Foods, Culture area nk.
Sijaimaliza bado kariakoo ngoja niimalize kariakoo pekeakeSafi sana anadhani Dar ni ya mchezo mchezo!!
Nyako maber vipi hehehe utaiweza dar kwa magorofa wewe nusu ya nairobi ni kariakoo pekeakeDirty, ugly plus unplanned city.