Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu jamaa hajiamini hii ndio dar ya 2017 na ndio uraban city kubwa east Africa twende kazi
Hohoho,kazi ipi wewe ,the urban metropolis in AFRICA IS NAIROBI,LEAVE ALONE EAST AFRICA.NOW YOU KNOW!!!
 
Naposema dar ni kubwa nasema kwasbabu naijua nairobi sasa twende kazi one by one
 
Hohoho,kazi ipi wewe ,the urban metropolis in AFRICA IS NAIROBI,LEAVE ALONE EAST AFRICA.NOW YOU KNOW!!!
Mbona muoga sasa twende kazi gorofa kumi za hapo kenyata conference ndio zinawatia ujinga twende kazi sasa
 
Hahahah siunaona sasa nimewaambia tuanze na gorofa angalia wanavoruka hahahha wanajua ndio maana hawajiamini hhahahahaha

Wazimu yako haijakuisha??? Nilikwambia wewe sijibizani nawe, kitu nafanya haikuhusu na usishughulike nayo, Aliyekwambia najibu huu uzi sababu yako nani??? Sijibu mambo yako wala sishughuliki nayo, kuna watu Kule Bongo wenye akili naweza jibizana nao, kina Anneal na tuusan, Wewe jipe shughuli na hata usishughulike kuquote mambo yangu! Delusional Doltish kind
 
Hahaha ujanja wenu tunaujua na uzuri mm nawafahamu sana hahahha so hua hamunisumbui hahahahah kabisa twende kazi kwenye magorofa kama munajiamini munakimbia kimbia nn ningewaonesha Leo dar ni nin hahahahhahahah
 
Wewe umetokea wapi tena??? Wewe huwasaidia hawa kakako sana na hizi picha zako!! Pazuri sana hapo, Mbona nilikuwa sijuona hii mahali???
Utaelewa tu hata kama kipofu hahahhaahahhπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sio kama tunakataa Nai sio pazuri but nyie Wakenya mnatuletea pictures za mahala pengine mkidai ni Nairobi...then mnaiponda Dar...Aibu yenu
 
Farmajo, Somalia President arrives in Kenya, We are loved by people who are determined and on course for meaningful change. Wanafik hatuna wakati nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…