Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar inachomaaaaa...!
 

Attachments

  • 1490210111360.jpg
    7.9 KB · Views: 30
  • 1490210117155.jpg
    10.2 KB · Views: 29
  • 1490210126708.jpg
    7 KB · Views: 29
  • 1490210131934.jpg
    6.2 KB · Views: 27
  • 1490210142488.jpg
    10.5 KB · Views: 27
  • 1490210152324.jpg
    9.3 KB · Views: 29
Ila Dsm ni nzuri sana majengo yako na architecture nzuri sana wanajitaidi kubuni majengo ya kuvutia sana
Nairobi majengo design za kizamani sana na matofaili yapo nje nje yani sura mbaya hawana design za kisasa, yani ata usafiri matatu za ajabu ajabu sura mbaya
 
Watu mko serious napenda kweli hili battle Ila mpunguze vijembe [emoji28][emoji28]japo vinanogesha lakini. ...kwakweli vitu ni vingi mno ....kitu kimenivutia zaidi ni kwamba despite of the facts that we both have some horrible places but still we do keep up!! How tall is that prism tower? ?
 
Having double glazing aluminium glass facade,only in Kenya,nairobi and Hass gonna have the same treatment.
Ni kwakuwa magorofa yenu mawili2 ndo yako hivyo nairobi nzima nayo sio marefu
Dar ya hivyo yamejazana kila kona
 
Acha zako hili ghorofa lina floor25
Ambayo zaidi ya apa mengi sana yapo na mengi yanajengwa
Emagine refu kuliko lote lina 40 floor
 
ViKenya ni jijanja sana
Ukifatilia utaona majengo mengi ya tanzania yanafloor nyingi kuliko ya kenya lakini ya kenya yanarecordiwa marefu sana
So wakenya wanachofanya wanaongeza msitima (tower) kwa juu ko jengo likipimwa wanalirecord kuwa ni refu sana

Na internationally ndo wanavyopima
Ndio maana kuna mda flan hvi marekani walibadrisha tower ya jengo la empire state likaongezeka urefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…