hahaha ebu tingiza hio kichwa yako, unataka daraja kubwa nairobi ya kuvuka wapi? Apart from that BRT what do you have? Kenya we even have our very own companies rivaling Uber nyinyi ni usingizi tu.Muulize mwenzako maana battle sio kitu kimoja tu. Ukisema infrastructure kwenu hamna BRT, Hamna daraja refu na zuri kama la Kigamboni. Sasa unapoongelea jambo usiangalie sehemu unayojifurahisha. Angalia nyanja zote. Nadhani umepata point hapo.
Kwikwikwikwi. Sasa hiyo ndio tofauti ya dar na Nairobi sawa.hahaha ebu tingiza hio kichwa yako, unataka daraja kubwa nairobi ya kuvuka wapi? Apart from that BRT what do you have? Kenya we even have our very own companies rivaling Uber nyinyi ni usingizi tu.
Si uanze thread ya Dar vs Mombasa kwasababu nikama we hujielewi, Nairobi haiko ligi ya Dar inaonekana hata we unajua kulingana na hizo points zako. Kama huwezi support your points with strong evidence basi we endelea kuchokesha vidole. Ety glass buildings ka unajivunia kitu ka hio enyewe wewe umekuja jiji juzi.Kwikwikwikwi. Sasa hiyo ndio tofauti ya dar na Nairobi sawa.
1. BRT Dar
2. Daraja zuri refu dar
3. Ports Dar
4. Boats Dar
5. Beaches Dar
6. Island dar
7. Marine Reserves dar
8. Costal Hotels Dar
9. Glass Buildings Dar
10. Many towers dar
Kuna mambo mengi tu. Hebu mention na wewe vitu kumi vipo Nairobi, Dar havipo.
Hahaha ndio maana nimesema kuishinda Dar ni battle ya Dar vs Nairobi + Mombasa.Si uanze thread ya Dar vs Mombasa kwasababu nikama we hujielewi, Nairobi haiko ligi ya Dar inaonekana hata we unajua kulingana na hizo points zako. Kama huwezi support your points with strong evidence basi we endelea kuchokesha vidole. Ety glass buildings ka unajivunia kitu ka hio enyewe wewe umekuja jiji juzi.
Hahaha naona huyo dogo mjinga eti anajaribu kulazimisha hii battle iwe dar vs Mombasa.hahahaha...dalili ya kushindwa nayo...woyiiii(in kenyan swahili ugly accent)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha ndio maana nimesema kuishinda Dar ni battle ya Dar vs Nairobi + Mombasa.
Wewe nimekuambia ulete vitu vilivyopo Nairobi, Dar havipo iliuweze ku challenge points zangu. Umeanza kulia lia.
Zaidi ya Barabara na hiyo mbuga ni nini zaidi? Au huelewi nimekuambia ufanye nini?
Wewe leta vitu viko Nai Dar havipo.
Hahaaa eti msifanishe Nairobi na vitu vyahajabu hahaaa sikia wewe usofananishe DAR na jiji la wasenge. Dar ata kidogo Huwezi kuifana nisha na old city NAIROBI.Nairobi aina kipya kwa sasa dar ndompango mzima. jiji la NAIROBI Lina watu makatiri sana wenye roho ngum kama mgongo wa kobe hahahaa karibu DAR Ulale na kuamka kwahamani sio NAIROBI unaofia Harshababu na hamini hukija DAR ya makonda huta zamia tu.tena uta zamia mazima uto ruditena NAIROBIMsifananishe Nairobi na vitu vya kijinga
Swali gani hili sasa. Hata mtoto chekechea anajua Nairobi ni inland sasa unataka tulazimishe Indian Ocean humo?Kwahiyo dar es salaam imeizidi Nairobi kwa mambo ya Island si ndio. Umekubali hilo? Nataka ukubali hilo kwanza.
Hapo umeshinda hata Texas mkuuKwikwikwikwi. Sasa hiyo ndio tofauti ya dar na Nairobi sawa.
1. BRT Dar
2. Daraja zuri refu dar
3. Ports Dar
4. Boats Dar
5. Beaches Dar
6. Island dar
7. Marine Reserves dar
8. Costal Hotels Dar
9. Glass Buildings Dar
10. Many towers dar
Kuna mambo mengi tu. Hebu mention na wewe vitu kumi vipo Nairobi, Dar havipo.
Kwa hiyo imezidiwa? vipi kuhu BRT? Glass buildings (Classic buildings)?, Majengo ya kisasa Nai majengo ya mkoloni majengo mabaya mbaya vipi hapo?Swali gani hili sasa. Hata mtoto chekechea anajua Nairobi ni inland sasa unataka tulazimishe Indian Ocean humo?
Hawa watu naona wameshikwa Na wazimu... Seriously, hi level ya insanity imezidi sasa, yani watu hata hajielewi wanaandika nini tena ... Itabidi wenye JF waweke online IQ test ambayo potential member ni lazima afanye kamtihani kupima akili Kama ni timamu kabla kujiunga Na jf.Swali gani hili sasa. Hata mtoto chekechea anajua Nairobi ni inland sasa unataka tulazimishe Indian Ocean humo?
Tunaanza sasa Health CentersHawa watu naona wameshikwa Na wazimu... Seriously, hi level ya insanity imezidi sasa, yani watu hata hajielewi wanaandika nini tena ... Itabidi wenye JF waweke online IQ test ambayo potential member ni lazima afanye kamtihani kupima akili Kama ni timamu kabla kujiunga Na jf.
Tembelea Upper hill Nairobi kisha uniulize swali hilo tena. Majengo ya kuvutia ajabu. Mimi kwa kweli sioni lengo la ubishi huu nini. Hautabadilishi palipo kitanda changuKwa hiyo imezidiwa? vipi kuhu BRT? Glass buildings (Classic buildings)?, Majengo ya kisasa Nai majengo ya mkoloni majengo mabaya mbaya vipi hapo?
Naona umeshikwa Na temporal insanity. Enda kameze sawa alafu ulale ndo urudi...Kwa hiyo imezidiwa? vipi kuhu BRT? Glass buildings (Classic buildings)?, Majengo ya kisasa Nai majengo ya mkoloni majengo mabaya mbaya vipi hapo?
Majengo ya kuvuti kwako kwa sababu wewe ni mshamba. Sisi sio sehemu moja tu yenyemajengo ya kuvutia. Ni sehemu nyingi mno. Nyie kasehemu kamoja tu na majengo mengi ya mkoloni. Twende kwenye health centers bra bra.Tembelea Upper hill Nairobi kisha uniulize swali hilo tena. Majengo ya kuvutia ajabu. Mimi kwa kweli sioni lengo la ubishi huu nini. Hautabadilishi palipo kitanda changu
Twende kwenye helath center. Hii battle ya vitendo sio maneno nimetupia health centers mbili leta za kwenu huko.Naona umeshikwa Na temporal insanity. Enda kameze sawa alafu ulale ndo urudi...
Hakuna lolote Dar inashinda Nairobi...uko compare on a point to point basis...
Dar ilishindwa kitambo Sana, ndio maama ili kufuta machozi ya aibu mnatafuta vigezo vya kiajabuajabu ili angalau mpungize uchungu ... Eti mmeshinda kwa daraja refu, boats, beach, island, ..hahaha Aki nyinyi watu mlizaliwa wapi jameni