Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha maneno mengi wewe!!!?
anataka kuonyesha kwamba yeye anaweza kuandika maneno mengi yenye statistics.

anasahau kwamba hapa statistics hazina nafasi.ni mwendo wa picha post kwa post.
 
Regency Medical Centre
12_10_e9hjq8.jpg
Regency Medical Centre.jpg
sitemgr_photo_150290.jpg
tanzanian-hospital-room-setup-1200x520px-2014.jpg
 
International Medical and Technological University(IMTU)
2014-IMTU2.jpg
ban2.jpg
ban4.jpg
ban7.jpg
DSCN7722.JPG
International Medical and Technological University (IMTU).jpg
 
Hapa nimeficha silaha zangu nawasubiri waibuke.
 
Hakuna kitu kama hicho unaruka ruka tu. Twende kwenye hotel mpaka tuone nani mshidi. Maana hapa tutakuwa tunafanya mambo ya ajabu ajabu.
Niambie
1. 5 Stars zipo ngapi
2. 4 Stars zipo ngapi
3. 3 Stars zipo ngapi

Siyo kuruka ruka tu.
Hapa tunataka tumalize ubishi, Mda bado upo usiruke.
Wewe haujaeleza 5, 4, 3 stars hoteli ngapi zipo Dar!
 
How many hotels are in Dar?
More than 600. Lakini hiyo issue tumeshamaliza tupo kwenye Health Center nimeweka vituo vidogo vidogo nawasubiri mkija naleta vya maangamizi.
 
How many hotels are in Dar?
bro unataka kuturudisha tulikopita.the question of who has better hotels than the other or how many hotels are in dar was well answered....of course, we won.
revisit the thread from the first page.
 
Nafanya kazi na demu mmoja wa kenya. ..mazee labda kapendelewa ana msabwanda wa kufa mtu anasumbua wajinga wajinga sana apa kwa ofisi
 
Back
Top Bottom