Nilienda.majuzi nilisikitika sana kwanza napaona hapafai tena inatakiwa kujengwa elevated bridge chini iwe full pavement.Ila kariakoo hasa msimbazi road...Hali ni mbaya sana...hakuna hata sehemu ya kupita, huku boda, huku cover za simu, watu mpaka wanapita katikati ya barabara za mwendokasi
Wenyewe kwa Wenyewe, 🤣🤣wanajitekenyaJamaa ni failure kila mahali halafu angalia gharama walizoingia!
View: https://x.com/Wambingwa_/status/1890259479419048157
View: https://x.com/SenHamidaK/status/1890366680250888604
Wana-discuss failure hapa!Wenyewe kwa Wenyewe, 🤣🤣wanajitekenya
NHC ya kenya huwezi kamwe kulinganisha na Giant nhc ya TanzaniaHow many projects have they done we compare it with our NHC in Kenya? Ama unafikiria Tanzania pekee ndio iko na NHC?
NHC Kenya's projectsNHC ya kenya huwezi kamwe kulinganisha na Giant nhc ya Tanzania
Kwanza hii kazi ya utumishi inapaswa kuwa ya mkataba na isizidi miaka 10 mtu anatoka anawaachia wengine.Ivi watumishi huwaga wanapewa target kweli?
Kingine unaweza kuta tunawaonea bure sababu unakuta mtumishi akijaribu kufanya kazi watu wanaletea siasa maeneo yao ya kazi wanaamua kuacha wasubiri maelekezo.
Siasa zipunguzwe kwenye utendaji, zaidi ya siasa zibaki kuomba matokeo.
Mfano mzuri, KITENGO CHA TANROAD cha hifadhi ya Barabara Watumishi tuseme Dar watafanya kazi gani maana wakiamua kila vijiwe vya Bodaboda, Machinga, bajaji watoke hifadhi ya Barabara utasikia siasa zinaingia waachwe waachwe licha ya Sheria kukataza.
Mzee sikumkubali kwa hili la Wamachinga
Nipo Tabora mjiniDuh nikaangalie Fursa za Ardhi kuwekeza huko, maana si kwa spidi inayokuja hapo.
Nani mwenyeji wa huko humu?
Ndio Raha ya Tanzania popote ni home kabisa na wenyeji hamna roho mbaya ya kunyima fursa.
You are an idiot, our top 2 foreign exchange sources areYaani sisi top 1 yetu 1 ndio rest of the Kunyaland top 5 😅😅😅 sasa hiyo GDP yao ni ya nini?
View attachment 3236843
Ndio Mzee,kwani export value ndio Mapato?Mapato hayo yote bado watu wanakopa mabilioni kwa matrilioni
Ebu tuonyeshe projects za hiyo NHC ya Tanzania tulinganishe na ya Kenya.NHC ya kenya huwezi kamwe kulinganisha na Giant nhc ya Tanzania
prank unamchafua mtu namna hiyo?If that was the case, it could have reflected in a boom in construction projects in your capital. Tell us any meaningful real estate development projects going on in Dar and their value
Your NHC has only completed 4 projects so far😂😂😂NHC Kenya's projects
VS
NHC Tanzania's projects
NHC Projects
The current National Housing Corporation is the outcome of the decision of the Government to dissolve the Register of building (RoB) through Act of Parliament No.2 of 1990, which vested its responsibilities with the NHC. The former NHC was established by Act of Parliament No.45 of 1962, while...www.nhc.co.tz
CC: Teargass
Your age can’t allow you to understand what pranks are.prank unamchafua mtu namna hiyo?
Mambo mrembo 😁Your age can’t allow you to understand what pranks are.
Your age can’t allow you to understand what pranks are.
Viwanja bei ikoje? Na sehemu iliyo na Stesheni ya reli ni ipi SGR.Nipo Tabora mjini