Kabla hujalalamika, Do you guys even have what to compete.Mada ni wewe kuita Wakenya roho mbaya kisa wengine wao kachukizwa na Diamond kuchukuliwa. Usibadilishe mada. In fact ingekuwa huko Bongo serikali yenu ingepinga, saa zingine mimi huona serikali yetu inakuwa nzuri kwa majirani sana kupitiliza. Ipo siku tutapata yule Rais wa tit for tat mtakielewa.
tit for tat mfanye mara ngapi si mlimzuia Diamond ku-perform Kenya? Mmefika wapi na sabotage zenyu? kafanya release za ngoma ngapi na ana-trend bado na amealikwa kwenye events ngapi ever since including huko Ukunyani? Au unafikiri Diamond ni level ya East Africa tu? Mtaumia mzee!Mada ni wewe kuita Wakenya roho mbaya kisa wengine wao kachukizwa na Diamond kuchukuliwa. Usibadilishe mada. In fact ingekuwa huko Bongo serikali yenu ingepinga, saa zingine mimi huona serikali yetu inakuwa nzuri kwa majirani sana kupitiliza. Ipo siku tutapata yule Rais wa tit for tat mtakielewa.
Jamaa anazingua.
Wakenya wengi ni vichaa.Ni law gani inasema huko kwenu Director wa mashirika ya UN awe Mzawa.
Tafuta cha kucompare acha kujiaibisha.
Eti working permit, mnamnyima Working permit kwa sababu gani? Sio mzawa?
Yaani Kuna na hiiπ€£π€£ wenyewe Kwa wenyeweπππππ»ππ»ππ»ππ»
View: https://x.com/nationafrica/status/1890589503141638378?s=46
View: https://x.com/just_say_ian/status/1890649387933503961?s=46
Halafu Kagame akaufyata! Mwamba JK alienda Muleba mkoa wa Kagera mpakani mwa Rwanda na Tanzania akachimba biti halafu akaanzisha operation ya kuwasaka Wanyarwanda woote Tanzania na kuwarudisha kwao!Jamaa anazingua.
Ivi kweli Tanzania tungekua na Inshu hiyo muda huu tungekua na vikao kweli?
Hao wa kibiti wangekua washakomaa huko Congo, Same na wale wa Kusini, Mapango ya Amboni, Ujambazi wa Bank, Ujambazi wa Kigoma.
Op. Kimbunga
Op. Kibiti
Op. Pori la Loliondo
Op. Mwanza
Zilifuta kila kitu.
Ila kuna watu wanachekea.
Mbona Tanzania iliweza timua Wanyarwanda 20k Nchini baada ya Chokochoko kule Kigoma, Kagera kama sehemu ya kutia adabu M23 2013.
Congo Jau sana hawana Mtu kama Mamadou Ndala siku hizi na kufanya kazi na jeshi lao ni jau sana Jeshi linawaza muda wote kutoroka au kujisalimisha.
Congo ni the biggest failed state on planet, tunapaswa kuachana nao au tukiwasaidia tuhakikishe tunajilipa.Jamaa anazingua.
Ivi kweli Tanzania tungekua na Inshu hiyo muda huu tungekua na vikao kweli?
Hao wa kibiti wangekua washakomaa huko Congo, Same na wale wa Kusini, Mapango ya Amboni, Ujambazi wa Bank, Ujambazi wa Kigoma.
Op. Kimbunga
Op. Kibiti
Op. Pori la Loliondo
Op. Mwanza
Zilifuta kila kitu.
Ila kuna watu wanachekea.
Mbona Tanzania iliweza timua Wanyarwanda 20k Nchini baada ya Chokochoko kule Kigoma, Kagera kama sehemu ya kutia adabu M23 2013.
Congo Jau sana hawana Mtu kama Mamadou Ndala siku hizi na kufanya kazi na jeshi lao ni jau sana Jeshi linawaza muda wote kutoroka au kujisalimisha.
Give me anything 30kms from Dar cbd kama hutoona shamba za mihogo na maharage
Kwa hivo Vodacom waliomchagua Silvia Mulinge ni wajinga wewe kinyangarika wa vijiweni Tandale unajua kuwashinda? Hivi unadhani Vodacom ni kikampuni cha kishambashamba kama hivyo vyenu kichague mtu asiye na skills awe Managing Director wa Kampuni yao? Huyo Mulinge mbona alienda Uganda MTN na anafanya vizuri wakati huyo Mmisri mliomchukua kisa mnachukia Wakenya alishindwa na kazi?Kabla hujalalamika, Do you guys even have what to compete.
Raila ni Skilled sasa yupo wapi?
Hao wasanii chungu nzima ukitoka nje ya Kenya nani anawafahamu.
Airtel wenyewe wamekujibu wanatumia mtu ambaye hana mipaka ya kufahamika Africa upo unaleta hadi UN HABITAT seriously?
Nani kamzuia Diamond kuperform? Diamond alikorofishana na mwanamziki mwenzake alafu akakataa kuperform mwenyewe. No Kenyan authorities prevented him to perform. Hatuna hizo roho zenu huku.tit for tat mfanye mara ngapi si mlimzuia Diamond ku-perform Kenya? Mmefika wapi na sabotage zenyu? kafanya release za ngoma ngapi na ana-trend bado na amealikwa kwenye events ngapi ever since including huko Ukunyani? Au unafikiri Diamond ni level ya East Africa tu? Mtaumia mzee!
Mbona unatuforce kuingilia vigogoro vyeni na vinchi vidogo size ya County Moja hapa Kenya? You're always angling for our validation aren't you?Halafu Kagame akaufyata! Mwamba JK alienda Kagera akachimba biti halafu akaanzisha operation ya kuwasaka Wanyarwanda woote na kuwarudisha kwao!
View: https://youtu.be/aDci72DG9D4?si=6jbVeNUq8_3OcGTJ
Hawa wapumbavu humu ndani NairobiWalker, Teargass n IamLee hawajui hilo!
Hivi ndivyo alijibu!
View: https://youtu.be/xldqhZBvm9U?si=4tmY32Fgtr-Blvnx
ππππππ¬πππππππππ€£π€£π€£ππKilio Cha mwizi π€£π€£π€£ wacha wavune matunda ya kujiona wao ni wamarekani weusi,hata kama wakitoka AU Africa utaendelea tu bila wao. Huu ni ujumbe kwamba Africa haitaki masnich.
View attachment 3237692
Ndio maana mlifunga bunge ili kwenda kumpigia kampeni Yussouf πSaii ndo wanajifanya hawajui Kenyans were campaigning for Yussouf, na ni hao walikuwa wanapost huku kenyans campaigning on Xππ
Hivi kila siku watu wakizungumzia Mbweni unafikiri iko umbali gani from CBD?Give me anything 30kms from Dar cbd kama hutoona shamba za mihogo na maharage
Ngoja nikupitishe kwa maandishiGive me anything 30kms from Dar cbd kama hutoona shamba za mihogo na maharage
tit for tat mfanye mara ngapi si mlimzuia Diamond ku-perform Kenya? Mmefika wapi na sabotage zenyu? kafanya release za ngoma ngapi na ana-trend bado na amealikwa kwenye events ngapi ever since including huko Ukunyani? Au unafikiri Diamond ni level ya East Africa tu? Mtaumia mzee!