Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

umeelewa habari kwanza, zile project za adani anapewa mchina kama vile JKIA heheh safari hii mpaka polisi watakua wachina ili wawacharaze vzr mbwa nyinyi
Nenda shule ukajifunze Kusoma wewe Yemeni refugee. Article imeandikwa โ€œAdani likeโ€, Do you know what that Adani like means?
 
nilitegemea kiwe 100% toka mwaka 2024 lakini aibu naona mm, tumekalia uchawa na kusifiana upuuzi tu wakat miradi inasuasua na mabilioni ya pesa yamekopwa kuliko marais wote waliopita kwenyw nchi hii๐Ÿ˜‚
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Nafurahi kuwa siku hiz watz wanafunguka na wanajuw kinachoendelea.
Soma hizo comments.
Hawana uelewa wowote wanaropoka tuu.

Wananchi waajulia wapi calculation zaidi ya kuona Kwa macho? Wanajua activities kweli zinazohusika?

Wasubirie reli waache ujanja ujanja
 
nilitegemea kiwe 100% toka mwaka 2024 lakini aibu naona mm, tumekalia uchawa na kusifiana upuuzi tu wakat miradi inasuasua na mabilioni ya pesa yamekopwa kuliko marais wote waliopita kwenyw nchi hii๐Ÿ˜‚
Wacha kuwika furahia hata huo mradi kufika 63% kuna watu dude limegota!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ