Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi is a City, Dar es Salaam is a village.
Screenshot_2025-02-22-20-57-25-06_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2025-02-16-00-00-52-61_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2025-02-16-15-22-29-55_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2025-02-16-15-23-08-93_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
In America as if they consider u as one of theirs! Wake up na acha ujinga!
You know nothing what means to be an American. Read the constitution. You are an American 🇺🇸 once you take the oath of allegiance like I have done or born within the jurisdiction. If I travel to Tanzania with my US passport and got arrested, they would deport me to the USA not Nairobi… now you know… any more confusion or is it conspiracy?… 😂😂
 
English zenyewe ndiyo hizo wakiongea Trump haelewi, raisi wake mwenyewe alienda US kuna swali aliulizwa na mmarekani akashindwa kuelewa, hiyo ni kutokana na kwamba hiyo lugha ni yao wanaichezea wanavyotaka, sisi watu weusi hasa kutoka huku Africa tunajua English ambayo ni basic tu siyo hiyo wanayoongea wao, ni kama vile sisi watanzania tunajua Kiswahili kiundani kabisa, hao wengine wanajua juu juu tu na wakati mwingine tukiongea hawatuelewi. Sasa huyo limbukeni 24/7 anasifia lugha wkt ni kitu cha kawaida na ni lugha kama zingine, waafrica tulilogwa aisee.
Name that one Kenyan who spoke to Trump na hakuelewa …. Ama ni stories za abunwasi ..😂😂..
 
English zenyewe ndiyo hizo wakiongea Trump haelewi, raisi wake mwenyewe alienda US kuna swali aliulizwa na mmarekani akashindwa kuelewa, hiyo ni kutokana na kwamba hiyo lugha ni yao wanaichezea wanavyotaka, sisi watu weusi hasa kutoka huku Africa tunajua English ambayo ni basic tu siyo hiyo wanayoongea wao, ni kama vile sisi watanzania tunajua Kiswahili kiundani kabisa, hao wengine wanajua juu juu tu na wakati mwingine tukiongea hawatuelewi. Sasa huyo limbukeni 24/7 anasifia lugha wkt ni kitu cha kawaida na ni lugha kama zingine, waafrica tulilogwa aisee.
Name that one Kenyan who spoke to Trump na hakuelewa …. Ama ni stories za abunwasi ..😂😂
 
Back
Top Bottom