Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila ndo waite gantry crane treni? Hapana Aisee! crane hata ikiwa inatembea juu ya reli haiwezi kuitwa train! Wameondosha maana!

Ni sahihi, kwa walivyofanya direct translations kwenda kwenye Kiswahili ndio imefanya maana kupotea hapo.
 
Fool Tanzania did in Comorros! Also in Seyschelles way back!
 
Ni sahihi, kwa walivyofanya direct translations kwenda kwenye Kiswahili ndio imefanya maana kupotea hapo.
si sawa it has to bring sense in translation crane inafanya kazi ya kupakua mizigo wakati treni inafanya kazi kubeba mizigo na kusafirisha!
 
Since 2021.

Okay hiyo stadium ilikua na match gani za FIFA 2022, 2023, 2024?

Na ulikua hapa unabisha una mpaka taa na taa zinawekwa 2025???
2022 and 2023 Kenya was banned by FIFA and we could not host or participate in any FIFA approved competition. Mbona unakuanga mjinga hadi kufanya simple research ni shida kwako. 2024 in hosted Gor Mahia Vs Al Haly, Kenya Police Vs Zamalek.
 
Mm wala sikuwa na haja ya ku Google, majua kabisa jeshi la hawa wasenge kila kitu ni donation, kuanzia combat mpaka boots, no wonder hawajawahi kushinda vita yoyote, unaweza kushangaa jamaa wanavaa mpaka combat za US, yn hawaoni aibu kupewa msaada wa combat, na wao wanavaa hivyo hivyo bila aibu, mwanajeshi wa marekani anajulikana kwa combat aliyovaa, vivyo hivyo mwanajeshi wa Tanzania anajulikana kwa combat aliyovaa lkn mwanajeshi wa Kenya haeleweki ni wawapi, wanavaa mpaka combat za jangwani za US wasenge hawa mpaka aibu, yn donation yoyote wanapokea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ni mjinga kweli kweli. By 2022 Kisumu was doing 40 flights per day, 12,000 per year. Yani hii mambo ya Kisumu handling 800,000 passengers in a year inawauma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…