Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

HEET ni mradi ambao nimeupenda sana na ninaona ni sawa kuwa tumekopa for this , vyuo vyetu vilikuwa vina capacity ndogo sana, watu walikuwa forced kwenda private au kusoma diploma,ukizingatia na population yetu , hii project itapunguza sana congestion kwenye vyuo,
Tanzania ilikuwa nyuma na kuzidiwa na Majirani wote kwenye Tertiary education enrollment kasoro Burundi so HEET ukiacha kwamba itaongeza udahili Bali inaenda sanjali na Mageuzi ya Mitaala,kusomesha Wataalamu wabobezi na kuimarisha Elimu yetu Kwa Jumla na kuchangia innovation How Sh972 billion will improve higher education in Tanzania

Good enough Vyuo Vikuu vimesambazwa Mikoa yote Tanzania
 
Tanzania ilikuwa nyuma na kuzidiwa na Majirani wote kwenye Tertiary education enrollment kasoro Burundi so HEET ukiacha kwamba itaongeza udahili Bali inaenda sanjali na Mageuzi ya Mitaala,kusomesha Wataalamu wabobezi na kuimarisha Elimu yetu Kwa Jumla.

Good enough Vyuo Vikuu vimesambazwa Mikoa yote Tanzania
Yes one of the best projects currently ,Human capital ni muhimu sana kwenye kukuza uchumi wa nchi. yeah plus vyuo almost mikoa yote, uchumi wa hizo sehemu vinapojengwa unaeneda kuongezeka
 
na ilianza expansion kipindi cha nani??😂

ni rais gani alifikiria kua kuna bandari inaitwa tanga na akaanza ujenzi wa expansion ?? au kwasababu hayupo na sio tanga pekee mpaka mtwara yeye ndio alifanya expansion, na sio mtwara mpaka dar port pia ambayo leo unajisifia hapa😂😂

au unafkiri wote humu ni wakushikiwa akili😂
Wewe ni kajinga,Kwa hiyo JK alivyoanza expansio ya Dar Port basi yeye ndio pekee alikuwa anafikiria kwamba inahitajika expansion na kwamba wanafanya expansion nyingine wao hawajafikiria si ndio? 😁😁

Hater utateseka sana na Bado hujasema 👇 👇

View: https://www.instagram.com/p/DGdnFzeNcTD/?igsh=MXVhd2JxNDhzcXhnYw==

My Take
Bandari zitaendelea kupanuliwa nkujengwa Kwa mujibu wa mahitaji.

Upanuzi unaendelea Mtwara ,Dar,Tanga, Mwanza,Bukoba,Kigoma.

Ujenzi unaendelea MbambaBay,Kilwa na soon utaanza Bagamoyo Port.

So Wacha ujinga ulichanganyika na wivu 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGd_sHrNmXe/?igsh=MWJvYW1maDQzem5naQ==
 
Yes one of the best projects currently ,Human capital ni muhimu sana kwenye kukuza uchumi wa nchi. yeah plus vyuo almost mikoa yote, uchumi wa hizo sehemu vinapojengwa unaeneda kuongezeka
Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere Kampasi ya Njombe 👇 👇

View: https://www.facebook.com/share/v/192bZgPzv3/
Screenshot_20250225-072609.jpg
 
Tanzania ilikuwa nyuma na kuzidiwa na Majirani wote kwenye Tertiary education enrollment kasoro Burundi so HEET ukiacha kwamba itaongeza udahili Bali inaenda sanjali na Mageuzi ya Mitaala,kusomesha Wataalamu wabobezi na kuimarisha Elimu yetu Kwa Jumla.

Good enough Vyuo Vikuu vimesambazwa Mikoa yote Tanzania
Wacha ujinga unataka kusema enrollment ya Rwanda na Uganda ilikuwa juu ya Tanzania? Leta evidence!
 
Hii ndio sababu waturkana wanaruhusiwa kuwa na mitutu ili kujikinga na uvamizi kutoka makabila mengine ya Ethiopia na Uganda. Bugucha
Umesema ukweli,Ina maana mpaka serikali inaruhusu raia kuwa AK47,ni kumaanisha serikali ni dhaifu,imeshindwa kulinda raia wake na uvamizi wa majambazi kutoka nje ya nchi! Aibu kubwa sana hii🚮
 
So according to you, the strength of Military is measured by transport buses?….who bewitched you ?..🤣🤣
No,Iko hivi,muonekano wa mtu,ndio unamtafsiri jinsi alivyo kichwani huwezi kwenda sehemu ya maana wenzako wanaendesha Range rover,ww unaenda na baiskeli,hamuwezi kupewa heshima sawa. Kwa mfano huo,basi za jeshi la Kenya kama hizi👇👇,ndio zinatoka tafsiri jinsi jeshi lenu lilivyo la hovyo ,ndio maana mnashindwa kila vita.
Screenshot_20250206-083551~2.png
 
Back
Top Bottom