So what’s your point … It’s still the most common language in the USA and the language of government. In many areas it’s mandatory. It’s only that the US has many aspects of immigration from various parts of the world. So Trump with his mantra of America First is now making it official to stick it to pro immigration forces, but who knows how long this lasts . Executive orders can only last to the next Presidency . In 4 years all this may be reversed including Gulf of America ( before Gulf of Mexico)… in America we say, Elections have consequences…Wakenya wanavyoiabudu hii lugha, walijua wala hata haikua official in USA?
View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1895512553641656492?t=cX7ef6deWrLJkR-21aQkhg&s=19
Kingereza kimekupita na mbali sana.Harmonize kawapiga mkwara kunyan huko huko kwao View attachment 3253981
Namaanisha kilivyokuwa under ARM!Uko wrong, kiwanda kilianza uzalishaji wa saruji tangu 2021.
Alichozindua Mh Rais ni upanuzi wa kiwanda.
Hujakutana na saruji za Huaxin mtaani mzee!
View: https://x.com/mbelwak/status/1463061431960563714?s=46
Sio hiyo tu, juzi jiwe la msingi limewekwa kwenye barabara iliotakiwa kuisha miaka mi 3 iliopita kule Tanga! Watu hawako serious kabisa!! Kama hiyo barabara ya ilala, kama hawakuwa tayari si wangiacha tu, kuliko kufanya ujinga ule!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
juzi nilipita buguruni ilala ile barabara toka imebomolewa kujenga BRT leo ni mwaka wa tatu iko vile vile, endeleeni kudanganyana tu
pesa zimekopwa za kutosha na zimepigwa za kutosha 🙌🏻🙌🏻
kila budget wanasema hayo hayo nimekuuliza au uchaguzi umewadia ??
Nini cha ajabu hapa?
Kwani rush hour public transport ikoje Nairobi? What I know in most cities rush hour buses/trains/trams are crammed and its understandable.
It was really bad. Embarrassing.Today was fireworks in the Oval Office between President Trump and VP Vance on one side against Ukraine President Zelenskyy. It turned into a shouting match . Zelenskyy got kicked out of the White House. Never seen anything like this in my political lifetime. It’s the talk everywhere here. This gonna be studied in history books…wild day in American Politics… as Americans say , Trump was like a bull in Chinatown..😁
The whole division is related to the rare earth minerals deal that Trump demanded ( 50% of Ukrainian minerals)but has no United States security guarantees. Zelenskyy is ok giving up the minerals to America but in exchange he wants military security guarantees from the US against any future Russian transgressions. Trump refused. So Zelenskyy refused to sign and Trump got upset . Trump’s theory is American presence in the mineral fields is itself a security guarantee because Putin would not attack when Americans are present working in the mineral fields. Zelenskyy was not sold on that , he wants that guarantee on paper signed . Now what next?… but today Putin definitely won!It was really bad. Embarrassing.
yani ndio maana nimeshangaa sana yani mtu azalishe clinker asizalishe cement nimestaajabu sana kwakweli na nimemuambia mbona hicho kiwanda kipo kinafanya kazi toka 2020 😂😂😂Uko wrong, kiwanda kilianza uzalishaji wa saruji tangu 2021.
Alichozindua Mh Rais ni upanuzi wa kiwanda.
Hujakutana na saruji za Huaxin mtaani mzee!
View: https://x.com/mbelwak/status/1463061431960563714?s=46
labda mpango wa uchaguzi tu huwez kua na ndoto kama huna mikakati maalumu ya haraka, huwez kugawa mitungi ya gas bure kwa watu wachache wakat gas yenyewe ni ghali sana, huwez kutaka watu watumie nishati mbadala wakat bei ya umeme iko juu sana na huku tunajisifu kua tuna vyanzo vya kuzalisha umeme rahisi zaidi kama hydro, kwa sasa tuongelee siasa za uchaguzi tu 😂😂😂Kwani hapo umesoma wamesema watakuja na mpango gani?
hehehe kwan wameanza lini kutoa ruksa ya kariakoo kufanya kazi masaa 24, hvi ww ushawah kufika china ukajionea watu walivo serious? na mipango iliotengezwa, nikikuuliza sasa hvi kuna eneo lingine linaongoza kwa wizi n ujambazi kama kariakoo?? unataka watu wafanye kazi masaa 24 alaf hatuna mikakati madhubuti 😂😂😂Leo ni 28/2 sio 25/2 najua unatamani ishindikane ila ni ndoto za mchana
25/2hehehe kwan wameanza lini kutoa ruksa ya kariakoo kufanya kazi masaa 24, hvi ww ushawah kufika china ukajionea watu walivo serious? na mipango iliotengezwa, nikikuuliza sasa hvi kuna eneo lingine linaongoza kwa wizi n ujambazi kama kariakoo?? unataka watu wafanye kazi masaa 24 alaf hatuna mikakati madhubuti 😂😂😂