Hio mitungi hao wananchi masikini wameenda kuiuza wala hawana mpango nayo.labda mpango wa uchaguzi tu huwez kua na ndoto kama huna mikakati maalumu ya haraka, huwez kugawa mitungi ya gas bure kwa watu wachache wakat gas yenyewe ni ghali sana, huwez kutaka watu watumie nishati mbadala wakat bei ya umeme iko juu sana na huku tunajisifu kua tuna vyanzo vya kuzalisha umeme rahisi zaidi kama hydro, kwa sasa tuongelee siasa za uchaguzi tu πππ
Umeanza kujaa kwenye mfumo ππlugha za uchaguzi nenda ukapite njia ya kutoka tanga mjini kwenda pangani ilivokua mbovu na inamiaka mingi sana iko hvo hvo hata kuziba mashimo hatuwezi πππππ alaf tunawaza barabara ya segera tanga wakat haina shida yoyote iko vzr kabisa
Hiyo ni brt bus, shida iko wapi? Au exposure ndio huna.
Mjuzi wa kiingereza nieleweshe alichoomaanisha harmonizeKingereza kimekupita na mbali sana.
Mwambie sisi tulishafanya kitambo. Mwambie a Google Azam complex, tena iko very visible and professional, sio jua kali kama hiyo yao.Nini cha ajabu hapa?
Soon atakuja kuropoka ni the first in east and central......Mwambie sisi tulishafanya kitambo. Mwambie a Google Azam complex, tena iko very visible and professional, sio jua kali kama hiyo yao.
Kuna mjinga keshasema hivyo juu huko π€£π€£π€£π€£π€£Soon atakuja kuropoka ni the first in east and central......
unless unambie na utuaminishe kua vita tumeshinda so far ππππNishati safi ya kupikia champion ni Mama na Sasa ni ajenda ya Afrika
View attachment 3254309
Najua hizi habari zinakujmiza moto il utazoea tuu Hadi 2030 ππ
ndio ile ya camera 40 sawa na million 514?Hazitoshi sio sawa na hukuna kabisa.Hata hilo la kufunga security cameras na taa Kila Kona ya Nchi ni project ya SSH.
seriously vitu vya ajabu sana unampa mtu mtungi wa gas bure wakat gas yenyewe ya 6kg ni 25k πππππHio mitungi hao wananchi masikini wameenda kuiuza wala hawana mpango nayo.
Hiyo hiyondio ile ya camera 40 sawa na million 514?
ππππππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
View: https://www.instagram.com/p/DGOUm0DsmXo/?igsh=MTV1M2g1NG9rMDJ5Yw==
Iko bungeni over 20 yrs Sasa sijui inafanya nini huko Bungeni ππππunless unambie na utuaminishe kua vita tumeshinda so far ππππ
shida yetu sisi ni hatupendi kuambizana ukweli vita vya nishati na salama iko bungeni over 20 yrs now, hio gas na umeme tunayotaka iwe nishati mbadala
10k = 28units electricity
25k = 6kg of gas
kumbe inaendelea ambayo ilishaanzishwa ππππππUmeanza kujaa kwenye mfumo ππ
Wakati nawaambia miaka 6 ya Mwendazake imepotea Bure si mlikuwa mnabisha?
Hakunaalichofanya kwenye Barabara,Mikoa aliyoikita Ina vumbi Kwa JK Hadi anaondoka aliacha vile vile.
Sasa mama ameanza kazi rasmi ya ujenzi wa kulinganisha Barabara.
Huko Tanga Kuna miradi mikubwa 4.
1.Tanga-Bagamoyo
2.Handeni-Singida
3.Amani-Muheza
4.Soni-Bumbuli-Korongwe.
Kwa Samia n kazi sio porojo ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGlTO34KhN8/?igsh=MWo0MWZrdGVrbWthNg==
πππππππ we mwenyewe unaona aibu ila ndio utafanyaje sasa wakat una pesa yako ya uchawaHiyo hiyo