Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

labda mpango wa uchaguzi tu huwez kua na ndoto kama huna mikakati maalumu ya haraka, huwez kugawa mitungi ya gas bure kwa watu wachache wakat gas yenyewe ni ghali sana, huwez kutaka watu watumie nishati mbadala wakat bei ya umeme iko juu sana na huku tunajisifu kua tuna vyanzo vya kuzalisha umeme rahisi zaidi kama hydro, kwa sasa tuongelee siasa za uchaguzi tu 😂😂😂
Hio mitungi hao wananchi masikini wameenda kuiuza wala hawana mpango nayo.
 
lugha za uchaguzi nenda ukapite njia ya kutoka tanga mjini kwenda pangani ilivokua mbovu na inamiaka mingi sana iko hvo hvo hata kuziba mashimo hatuwezi 😂😂😂😂😂 alaf tunawaza barabara ya segera tanga wakat haina shida yoyote iko vzr kabisa
Umeanza kujaa kwenye mfumo 😂😂

Wakati nawaambia miaka 6 ya Mwendazake imepotea Bure si mlikuwa mnabisha?

Hakunaalichofanya kwenye Barabara,Mikoa aliyoikita Ina vumbi Kwa JK Hadi anaondoka aliacha vile vile.

Sasa mama ameanza kazi rasmi ya ujenzi wa kulinganisha Barabara.

Huko Tanga Kuna miradi mikubwa 4.

1.Tanga-Bagamoyo
2.Handeni-Singida
3.Amani-Muheza
4.Soni-Bumbuli-Korongwe.

Kwa Samia n kazi sio porojo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGlTO34KhN8/?igsh=MWo0MWZrdGVrbWthNg==
 
Very civilized population, kama Vatican mwanangu 😘😘😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥
Screenshot_20250301-110840~2.png
 
Nishati safi ya kupikia champion ni Mama na Sasa ni ajenda ya Afrika
View attachment 3254309

Najua hizi habari zinakujmiza moto il utazoea tuu Hadi 2030 😂😂
unless unambie na utuaminishe kua vita tumeshinda so far 😂😂😂😂

shida yetu sisi ni hatupendi kuambizana ukweli vita vya nishati na salama iko bungeni over 20 yrs now, hio gas na umeme tunayotaka iwe nishati mbadala

10k = 28units electricity
25k = 6kg of gas
 
unless unambie na utuaminishe kua vita tumeshinda so far 😂😂😂😂

shida yetu sisi ni hatupendi kuambizana ukweli vita vya nishati na salama iko bungeni over 20 yrs now, hio gas na umeme tunayotaka iwe nishati mbadala

10k = 28units electricity
25k = 6kg of gas
Iko bungeni over 20 yrs Sasa sijui inafanya nini huko Bungeni 😁😁👇👇
Screenshot_20250301-075716.jpg
 
Umeanza kujaa kwenye mfumo 😂😂

Wakati nawaambia miaka 6 ya Mwendazake imepotea Bure si mlikuwa mnabisha?

Hakunaalichofanya kwenye Barabara,Mikoa aliyoikita Ina vumbi Kwa JK Hadi anaondoka aliacha vile vile.

Sasa mama ameanza kazi rasmi ya ujenzi wa kulinganisha Barabara.

Huko Tanga Kuna miradi mikubwa 4.

1.Tanga-Bagamoyo
2.Handeni-Singida
3.Amani-Muheza
4.Soni-Bumbuli-Korongwe.

Kwa Samia n kazi sio porojo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGlTO34KhN8/?igsh=MWo0MWZrdGVrbWthNg==

kumbe inaendelea ambayo ilishaanzishwa 😂😂😂😂😂😂

kwani kwa akili yako unafkiri angekua hai isingeendelea ?? kama ilishaanzishwa ni lazma iendelee sio ombi kwasababu pesa zimewekwa hapo

alaf unatuambia barabara ya segera tanga wakat barabara nzima kabisa haina shida, tuzibe mapengo ya barabara kutoka tanga mjini kwenda pangani kwanza barabara ina mashimo kama kikaango cha vitumbua 😂😂😂
 
Back
Top Bottom