Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We jamaa kwani uki ignore huyo chawa utapungukiwa nini?
 
Inategemeana na unavomchukulia mtu , lakini kwangu Mimi the most corrupt alikuwa hiyo anayeona alifanya mengi na evidence zipo wazi usipofushwe na miradi michache, pia hata Samia sio kwamba Yuko perfect Kuna vitu vingi vinaenda ndivyo sivyo ola huwez compare na magu.at least peace of mind kwa mfuatiliaji imepatikana ili uweze kuona utofauti angalie Ile rate ya wawekezaji inavyoflow , chukua hata mfano tu mabasi na malori then njoo kwenye ajira. Angalia rate ya faida kwenye mabenk ulinganishe na Ile shake ya mabenk kipindi cha mwendazake.
The only president alikuwa Nyerere ila sio magu mnayemsifia
 
Mkuu mashart gani mfano
 
Wewe ndio kipimo Cha viongozi Waziri au waaofanya kazi? 😁😁😁😁

Mnanipaga burudani sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DGqqjz9sZ88/?igsh=NWh6dWRnb25temE0
 
utayaona vp wakat vichwa vyake havijaja so far, kila siku tunapigwa kalenda pesa zinakopwa ovyo na hakuna kitu kinaenda kwa wakat
Sasa kama havijaja na vilinunuliwa kipindi cha mwendazake Tena kwa cash kwa gharama ya hizo mpya na hivi vipya mkataba wa manunuzi ukaingiwa mwaka 2021/08/1
Una hakika gani kama magu wenu hakutupiga chenga. Huo ni mfano wa wizi aliokuwa nao .
Kumbe zaid ya mabehewa mapya 59 na emu 10 na mabehewa 200 ya mizigo yalionununuliwa miaka miwili baada ya magu kununua used yameshafika.
Happ nani mwizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…