Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tuulize sisi tuliokuwepo tanga that day tukusimulie 😂😂😂😂😂😂

bodaboda wote wameekewa mafuta 5000 na posho elf 20 waongeze idadi ya misafara

watu wamezolewa kila kona ya kijiji na kuletwa uwanjani wajaze uwanja

chakula kimewekwa kushawishi watu waje wajaze uwanja ili wale na maji semi mbili za GSM zilikuwepo zikimwaga maji mpaka watu wanabeba carton za maji kupeleka majumbani kwao

😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 eti historia
We jamaa kwani uki ignore huyo chawa utapungukiwa nini?
 
Hatari.

Wanasema ulianzia kwa Mzee wakati sifa kwa mzee zilikua genuine kwa kile anachokifanya sio unafiki ndio maana toka afe 3 yrs wanajaribu kuzima kwa gharama kubwa mabango kila mahali, kusifia kulikopitiliza kwa kila mtu hata kwa watu ambao hawatakiwi kufanya "Viongozi".

Afanye kazi atasifiwa.

Sio kiongozi flani yupo anablunder unamuacha kisa anasifia vizuri.

"Mwigilu", Chalamila, Mbarawa, wote wanaosimamia Mwendokasi, MADC na MARC ovyo.

Yaani ni noma kabisa. Now hakuna kumwajibisha kiongozi anayesifia vizuri. Na ndio wanamcost pakubwa.

Kwani hajajifunza kwa Magufuli hao hao waliokua wanajifanza kuchapa kazi now ni wazembe wakubwa na waharibifu na machawa wakubwa hadi kufikia kumtukana.

Legacy yako inawekwa na alama ulizoacha hata wakuchafue vipi hufutiki.

Aangalie kuacha alama sio controversies za waarabu kila kukicha.


Kamilisha miradi yote safi. Na miradi usiichafue na siasa za uchawa
Inategemeana na unavomchukulia mtu , lakini kwangu Mimi the most corrupt alikuwa hiyo anayeona alifanya mengi na evidence zipo wazi usipofushwe na miradi michache, pia hata Samia sio kwamba Yuko perfect Kuna vitu vingi vinaenda ndivyo sivyo ola huwez compare na magu.at least peace of mind kwa mfuatiliaji imepatikana ili uweze kuona utofauti angalie Ile rate ya wawekezaji inavyoflow , chukua hata mfano tu mabasi na malori then njoo kwenye ajira. Angalia rate ya faida kwenye mabenk ulinganishe na Ile shake ya mabenk kipindi cha mwendazake.
The only president alikuwa Nyerere ila sio magu mnayemsifia
 
hebu kuweni serious kidogo unaongea vitu gani wewe, ndio maana tulikua tayar kusaini mkataba wa bagamoyo port kwa yale masharti kwa maslahi ya wachache kwa sababu akili zetu hazijifunzi kila siku

camera 40 ni sawa na 514m hvi ww ukiwa na akili timamu unaona iko sawa??

hvi sisi watanzania tuna shida gani alaf tuko hapa tunawacheka wakenya kwa ajili ya ufisadi wao kumbe na kwetu pia kunaungua vile vile 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Mkuu mashart gani mfano
 
Hatari.

Wanasema ulianzia kwa Mzee wakati sifa kwa mzee zilikua genuine kwa kile anachokifanya sio unafiki ndio maana toka afe 3 yrs wanajaribu kuzima kwa gharama kubwa mabango kila mahali, kusifia kulikopitiliza kwa kila mtu hata kwa watu ambao hawatakiwi kufanya "Viongozi".

Afanye kazi atasifiwa.

Sio kiongozi flani yupo anablunder unamuacha kisa anasifia vizuri.

"Mwigilu", Chalamila, Mbarawa, wote wanaosimamia Mwendokasi, MADC na MARC ovyo.

Yaani ni noma kabisa. Now hakuna kumwajibisha kiongozi anayesifia vizuri. Na ndio wanamcost pakubwa.

Kwani hajajifunza kwa Magufuli hao hao waliokua wanajifanza kuchapa kazi now ni wazembe wakubwa na waharibifu na machawa wakubwa hadi kufikia kumtukana.

Legacy yako inawekwa na alama ulizoacha hata wakuchafue vipi hufutiki.

Aangalie kuacha alama sio controversies za waarabu kila kukicha.


Kamilisha miradi yote safi. Na miradi usiichafue na siasa za uchawa
Wewe ndio kipimo Cha viongozi Waziri au waaofanya kazi? 😁😁😁😁

Mnanipaga burudani sana 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGqqjz9sZ88/?igsh=NWh6dWRnb25temE0
 
utayaona vp wakat vichwa vyake havijaja so far, kila siku tunapigwa kalenda pesa zinakopwa ovyo na hakuna kitu kinaenda kwa wakat
Sasa kama havijaja na vilinunuliwa kipindi cha mwendazake Tena kwa cash kwa gharama ya hizo mpya na hivi vipya mkataba wa manunuzi ukaingiwa mwaka 2021/08/1
Una hakika gani kama magu wenu hakutupiga chenga. Huo ni mfano wa wizi aliokuwa nao .
Kumbe zaid ya mabehewa mapya 59 na emu 10 na mabehewa 200 ya mizigo yalionununuliwa miaka miwili baada ya magu kununua used yameshafika.
Happ nani mwizi?
 
Back
Top Bottom