Ili ni jibu zuri Sana. Ni nani yuko anti trees hapa between two countries...imagine comparing 6% to 50.6%I hope you no longer compare this to Mombasa.. 🤣.. btw .. too many trees 🌲 in Mwanza( lovely), but it’s ironic how you are anti trees for Nairobi.. nyinyi hamna msimamo … you blow with the wind..😁
Cut that crap soja debate issues, sina mda wako kama una tabia za ki umama hapa. Ujinga is relative/subjective. Depending from where you see it, you might think something is dumb while the reality is you fail to understand it’s relevance or application which technically means you’re the foolWe Listone Mutai umekuwa mjinga sn siku hz.
Huku Nairobi tuna watchmen wa kutosha so hatukutaki?Sijui hata unaongea kuhusu nn wewe jamaa, ni kweli tulitumia muda mrefu lkn hatukupita Nairobi na sijawahi kufika Nairobi na sifikirii kufika huko in the future.
Are these women?Umejuaje kwetu ni mwanza👇 😂😂😂View attachment 3255273
Umejuaje na hujaikanyaga border yoyote ya Tanzania na nchi jirani?Mombasa kuna joto kali kuliko Dar.
Sema tu kazi yako haikuruhusu upate muda - it’s much more believable than that hadithi you just made upSijui hata unaongea kuhusu nn wewe jamaa, ni kweli tulitumia muda mrefu lkn hatukupita Nairobi na sijawahi kufika Nairobi na sifikirii kufika huko in the future.
This guy is running on borrowed but limited brainsUmejuaje na hujaikanyaga border yoyote ya Tanzania na nchi jirani?
Ni wewe lakini tumepita sana kwa sababu ya kuwepo kwa barabaran mbovu miaka hiyoSijui hata unaongea kuhusu nn wewe jamaa, ni kweli tulitumia muda mrefu lkn hatukupita Nairobi na sijawahi kufika Nairobi na sifikirii kufika huko in the future.
Niiogope mombasa kwa mashoga.? Heb ulizia watu wakwambie vile watu wa Tanga tunavyowadharau watu wa mombasa, wamelemaa midomo wakiongea 🤣🤣🤣 ndio niiogope.? Niache kuogopa watu tough around Tz, niogope mashoga.?Mombasa waiogopa sana
Ili ni jibu zuri Sana. Ni nani yuko anti trees hapa between two countI hope you no longer compare this to Mombasa.. 🤣.. btw .. too many trees 🌲 in Mwanza( lovely), but it’s ironic how you are anti trees for Nairobi.. nyinyi hamna msimamo … you blow with the wind..😁
These people from kenya. Don't understand advantages za hiz systems. Because they don't have themHadi Japan huko First world kuna wafanyakazi nje wanashindilia watu ili milango ifunge😂😂😂😂😂Lakini KUNGUNI TRANSMISSION Rider aka MATHR3333 anajiona yupo juu 😂
View attachment 3254988
View attachment 3254989View attachment 3254990
Chawa achana nao.Mtu alishajifia. Muache apumzike kwa Amani.
Tunaongelea sasa. Hatuwezi tukakaa kimya. Sasa hiv kuna wizi mkubwa sana and nothing is going on, na wala hakuna updates na uwazi. Mimi siku nikiona SGR Lot 3 and 4 wanaupdate kama Yapi Wanavyoupdate lot 2 kila mwezi then at least naweza wavumilia.
Mkuu kwa hali ya sasa hakuna any promising future kwa hii nchi.
Na sio mimi tu...ingia hata mtaani uliza wananchi wa kawaida, watasema wenyew
Sawa Listone nimekuelewa Mr Mutai.Cut that crap soja debate issues, sina mda wako kama una tabia za ki umama hapa. Ujinga is relative/subjective. Depending from where you see it, you might think something is dumb while the reality is you fail to understand it’s relevance or application which technically means you’re the fool
Umekuwa mjinga sn Listone.Sema tu kazi yako haikuruhusu upate muda - it’s much more believable than that hadithi you just made up
Kwann Listone Mutai unalazimisha nije Nairobi? Mm katika maisha yangu sidhani kama nitakuja huko mana naogopa hilo jiji ni hatari sn, usalama ni mdogo kuanzia airport mpaka unafika mtaani ni vurugu tupu, mara bandits mara alshabaab mara abduction, mara wizi, siwezi kuja huko hata kwa bahati mbaya, labda kuwe na ulazima wa kikazi lkn sio nije huko for leisure kama nyinyi mnavyokuja Dar, never ever.Sema tu kazi yako haikuruhusu upate muda - it’s much more believable than that hadithi you just made up
Yaani nyie nyan’gau mnang’an’ania lugha ya Kiingereza kama malimbukeni. Huwa mnachekesha sana.Kingereza kimekupita na mbali sana.
Na wewe mbona unang'ang'ania lugha ya warabu?Yaani nyie nyan’gau mnang’an’ania lugha ya Kiingereza kama malimbukeni. Huwa mnachekesha sana.
Hvi zile bilioni 5 za uwekazaji tulihadiwa marekani ziko wapi ? Watu wanadhani tumesahau, safari kibao sijui Marekani mara Ufaransa hamna chochote cha maanaUchawa na kusifia ndiyo kitu wanacho kipenda hawa machawa kama JPM alikuwa fisadi kwangu mm angeiba tu bila yeye hakuna Sgr ya umeme, Atcl, JPM bridge, mv mwanza, bwawa la Nyerere, serikali kuhamia Dodoma, plan ya msia airport, wami bridge, ikulu Dodoma, walivyo wasenge watakwambia hakukamilisha je nani alizianzisha bila kujali mikwala ya mabeberu kazi ilifanyika bila kujali nani anataka nini
Wakunya wana huo uhuru ila hamna cha maana kinachoendelea kila siku wanaandamana kwa sababu ya bei ya ungaaEti freedom of speech, nani kakuambia maskini anahitaji freedom of speech, huo upuuzi ndiyo umezaa machawa leo hii. Maliza njaa kwanza ndiyo freedom of speech ifuate.