Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukisema haikufanyiwa KAZI inatakiwa ujue Kila mpango wa serikali unaenda kwa awamu.
Mfano kipindi kikwete anapokea nchi central corridor ilikuwa kama imefungwa na watu wa mwanza ili kufika dar iliwalazimu wapite Nairobi akaifungua na kupafingua mtwara. Awamu ya kikwete ndo imejenga barabaran nyingi sana kulingana na tanroads.

Akakomaa nashida ya umeme ndo iptl na song as zikazaliwa akaongeza ajira maradufu ambayo ilileta multiplier effect kwenye uchumi wakati magu anakabidhiwa rungu aliambiwa kabisa Kuna ujenzi wa reli na muhimu sana kwa ajili ya kuovertake Nairobi na hata ukiangalia barabaran alizojenga magu kwa awamu ya kwanza tu na zile za kikwete awamu ya kwanza za magu hazifiki hata 1800 km huku jk akiwa na zaid 3300km kwa kuanzia 2005-2010.
Kila kitu kinaenda kwa awamu
Eti kutoka mwanza kuja Dar kabla ya kikwete ilikuwa lazima upitie Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umejuaje kwetu ni mwanza👇 😂😂😂
1000010407.jpg
 
Haha taja barabaran yoyote ya kutoka mwanza iliyokamilika kabla ya 2005
Mm nikiwa kijana mdogo kabisa miaka ya 90s familia yangu pamoja nami tulihama kutoka Dar kwenda mwanza kwa kutumia barabara na tulirudi kwa kutumia treni, hatujawahi kupitia Nairobi, kuhusu barabara kuwa mbovu kwa miaka ile ni kawaida kwa Africa, mpaka sasa nchi nyingi hazina road za kueleweka za kuunganisha mkoa kwa mkoa ukiacha TANZANIA.
 
Huyo mwenye idea kafanya machache sn kulinganisha na aliyefuatia, kuona ni kuamini.
Mimi nadhani ili twende sawa ilitakiwa tuwe na cost analysis na ripot ya ukaguzi wa hiyo miradi .
Pili total value ya hiyo miradi multiplier effect yake.
Capacity ya muda husika
 
Mm nikiwa kijana mdogo kabisa miaka ya 90s familia yangu pamoja nami tulihama kutoka Dar kwenda mwanza kwa kutumia barabara na tulirudi kwa kutumia treni, hatujawahi kupitia Nairobi, kuhusu barabara kuwa mbovu kwa miaka ile ni kawaida kwa Africa, mpaka sasa nchi nyingi hazina road za kueleweka za kuunganisha mkoa kwa mkoa ukiacha TANZANIA.
Sidhan basi uliwahi fika mwanza kipindi hicho.
Barabaran za kutoka nzega mpaka manyoni na dodoma zimeanza kujenga miaka ya 2004 mpaka 2006 na ili uweze ufike mwanza kwa unahisi kama hutumii treni na kwa haraka ilikuwa lazima upande basi kuzungukia Nairobi na ndo ilikuwa njian ya haraka kufika dar bila usumbufu.
Mabasi yalikuwa Scandinavia baadae sana akaja Mombasa raha na kadhalika na kwa kutumia njian ya vumbi ilikuwa ni sas limited toka bukoba , Mohamed trans kotekote,
Najmunisa na kadhalika. Sasa kama hujawahi tumia Nairobi basi ulikuwa unatumia zaid ya siku mbili wakati wenzio masaa 24 wako dar
 
It's normal during rush hour in all major cities around the world. The guy who posted and others are just like you.
is there an oath that you guys swear on before you’re given an ID? Or is it just the culture to deny in broad daylight. I don’t get it. So all these people (daily users) are also like me
IMG_1934.jpeg

IMG_1933.jpeg

IMG_1935.jpeg
IMG_1936.jpeg

Ona vile watu wanaskumana na kukimbilia basi

View: https://youtu.be/YKTh3Qp9_nY?si=2QNOv8oVEGEcRh_h
 
Ila mbona haya mambo yapo awamu zote au tumesahau ya kina polepole . Kitu pekee kinachoonekana ni kwamba tunalinganisha na aliyepita ila hamtaki tuongelee negativity za aliyepita.
Tunapenda tusikie ufisadi wa mama ila akiguswa aliyeondoka kama reference ni vita.
Ufisadi uliofanyika penzi za mwendazake ni mkubwa kuliko awamu zote na miradi mingi ilisimama ila kwa sababu ni malaika hatakiwi kuzungumzwa
Mtu alishajifia. Muache apumzike kwa Amani.
Tunaongelea sasa. Hatuwezi tukakaa kimya. Sasa hiv kuna wizi mkubwa sana and nothing is going on, na wala hakuna updates na uwazi. Mimi siku nikiona SGR Lot 3 and 4 wanaupdate kama Yapi Wanavyoupdate lot 2 kila mwezi then at least naweza wavumilia.
Mkuu kwa hali ya sasa hakuna any promising future kwa hii nchi.
Na sio mimi tu...ingia hata mtaani uliza wananchi wa kawaida, watasema wenyew
 
Sidhan basi uliwahi fika mwanza kipindi hicho.
Barabaran za kutoka nzega mpaka manyoni na dodoma zimeanza kujenga miaka ya 2004 mpaka 2006 na ili uweze ufike mwanza kwa unahisi kama hutumii treni na kwa haraka ilikuwa lazima upande basi kuzungukia Nairobi na ndo ilikuwa njian ya haraka kufika dar bila usumbufu.
Mabasi yalikuwa Scandinavia baadae sana akaja Mombasa raha na kadhalika na kwa kutumia njian ya vumbi ilikuwa ni sas limited toka bukoba , Mohamed trans kotekote,
Najmunisa na kadhalika. Sasa kama hujawahi tumia Nairobi basi ulikuwa unatumia zaid ya siku mbili wakati wenzio masaa 24 wako dar
Sijui hata unaongea kuhusu nn wewe jamaa, ni kweli tulitumia muda mrefu lkn hatukupita Nairobi na sijawahi kufika Nairobi na sifikirii kufika huko in the future.
 
Back
Top Bottom