Jana Sound System ilikuwa ya Burna Boy, leo hii tena imekuwa ya Wakenya just because the quality of Burna Boy’s system was poor. Huyu mzee atachizi siku moja.Jana mmepost humu kwamba Burna Boy mwenyewe kaja na sound system yake. Leo hiyo hiyo sound system ya Burna Boy mnaitumia kuiponda Kenya. Mbona msimponde huyo Burna Boy mwenyewe mwenye mlisifia kwa kuchagua kuja na system yake mwenyewe?
Una upuuzi mwingi kijana. Acha ufala.Wewe ndio kipimo Cha viongozi Waziri au waaofanya kazi? 😁😁😁😁
Mnanipaga burudani sana 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DGqqjz9sZ88/?igsh=NWh6dWRnb25temE0
Sawa usijali, Ikiwa umeamua kuchukua negativity ni chaguo lako.Inategemeana na unavomchukulia mtu , lakini kwangu Mimi the most corrupt alikuwa hiyo anayeona alifanya mengi na evidence zipo wazi usipofushwe na miradi michache, pia hata Samia sio kwamba Yuko perfect Kuna vitu vingi vinaenda ndivyo sivyo ola huwez compare na magu.at least peace of mind kwa mfuatiliaji imepatikana ili uweze kuona utofauti angalie Ile rate ya wawekezaji inavyoflow , chukua hata mfano tu mabasi na malori then njoo kwenye ajira. Angalia rate ya faida kwenye mabenk ulinganishe na Ile shake ya mabenk kipindi cha mwendazake.
The only president alikuwa Nyerere ila sio magu mnayemsifia
Why not?Did you design this?
Kwenye suala la hela wewe ni mbwa tu kwangu.. i am happy travelling all around Tz. Sina chakufuata huko kwa mashoga.Hapa kwenye hili jukwaaa wewe na Watchman ndo hamjafika 001 na tunakuja sababu ni pesa. 😂😂😂
My Ideal of Kawe Complex Arena
View attachment 3255563
View attachment 3255565
View attachment 3255572
Hii kali mkuu. 🔥🔥🔥
450 - 320 = jibu unalo mbona 😂😂😂😂Ulitaka vijengwe Kwa bei gani?
Pili 2015-2021 Kuna kipi ambacho Mwendazake alifanya? Be it Kwa Mkopo or domestic revenues?
Mwisho as norm hakuna aloyewahi weka hii rekodi before 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DGr_pwUIoWb/?igsh=MWhrYzJpOTBndGU1Mg==
When?Why not?
The most iconic building in Magufuli city so far. 🔥wizara ya fedha magufuli city dodoma
View attachment 3255591
That's the definition of hatred.🤣Jana Sound System ilikuwa ya Burna Boy, leo hii tena imekuwa ya Wakenya just because the quality of Burna Boy’s system was poor. Huyu mzee atachizi siku moja.
What do you mean?When?
Ni kama na nyinyi ambavyo mnachukua negativity ya Samia na kikwete mnasahau kuwa kipindi cha magu karibia Kila kitu kilisimama ikabaki miradi michache ya kuoneshaSawa usijali, Ikiwa umeamua kuchukua negativity ni chaguo lako.
Stupid questions deserve stupid answers.Elewa swali ndiyo ujibu. Yani apo umejipiga risasi ya mguuni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pole sana watchman.U
Mombasa mpya iko wapi? Mombasa yote imejaa nyumba za udongo na makazi holela kushoto kulia, wacha ujinga.