Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa sababu Watanzania mama ameimarisha kipato Cha Watanzania

Kwa sababu Watanzania Sasa wanaelewa kwamba Utalii sio kusubiria wageni.

Mwisho African Countries ndio zimechangia watalii wengi zaidi kwenye namba hiyo ya Watalii wa Nje.
kipato gani watu wanajinyonga kwa ugumu wa maisha huko morogoro

hao watalii wa nje ya africa wanenda wapi?? hua tunatangaza utalii kwa billions of money kwa dunia gani ?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ au dunia hii bara pekee ni africa vp kuhusu mabara mengine yenye watu wanaojua maana ya utalii na wenye kujua kutumia pesa kisawasawa
 
Ni lini watu walikuwa hawajinyongi?

Kipato kimeongezeka kutoka hapa πŸ‘‡ πŸ‘‡

View: https://x.com/zittokabwe/status/1896114062439616572?t=ogqh6mQtl-ibmzBSwleA6Q&s=19
Hakuna kitu mama amegusa kimebuma ,yaani nyie hadi msalimu amri πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/zittokabwe/status/1896110605058101278?t=Ee2UW3hIfqH7pJBZ0R6w0g&s=19
 
International tourists are more than total airport PAX in their country for both international and local travelers.πŸ˜‚πŸ˜‚
 
madini yanaeleweka aliefanya mageuzi makubwa sana leo hatuskii tanzanite inatoka india au kenya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ haya ni matunda ya jembe

utalii vile vile tulikua tumelala kaja kutuamsha na kuongeza baadhi ya hifadhi za utalii kutoka kwenye mapori ikiwepo nyerere national park etc leo inazalisha mapato makubwa ambayo hayakuwepo awali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ leo tunashangilia utalii ila tumesahau air tanzania ilifufuliwa kwa dhumuni hilo la utalii


tunafurahia horticulture ila tunasahau kwann manunuzi ya boeing 767 cargo ilinunuliwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwann air tanzania ilifufuliwa hayo hatuyajui ila kwasababu ni uchawa umetujaa na upigaji


alaf unakuja kutudanganya hapa lugha za siasa eti viwanda zaidi ya elf 30 labda viwanda vya kushona viatu mitaaniπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani kabla ya Ununuzi wa Boeng hizo horticulture ziliwahi kosa soko? πŸ˜‚πŸ˜‚

Mageuzi gani yalifanywa? Samia amegawa mitambo Kwa qachimbaji wadogo,amewapelekea umeme,amewafutia na kupunguza tozo,amewapa kitambo ya Utafiti nl nk
Hao wengine walifanya nini?

Kwenye Utalii mlikuwa mumelalaje? 😁😁

Kwamba alifanya Royal tour au siyo? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tanzania yavunja rekodi ya kuvutia watalii milioni 5 mwaka 2024. Huu ni ushindi mwingine wa kwa Sera ya kufungua nchi
 
zilikua zinaozea mashambani na zingine zinaozea kwenye maghala πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

leo tunafurahia cargo plane tunakenua na meno yote 32 bila aibu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

mageuzi ya kwanza ni kwenye sheria na katiba alaf ndio utekelezaji sasa, kwan siku hzi unaskia tanzanite inatoka kenya au india ?????

unaenda kuleta mzungu kucheza filamu ya royal tour alaf watalii wanaokuja ni wachache kuliko wanaotoka tanzania na africa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»

hvi yule mzungu alichukua bei gani aisee?


alaf tulikua tumelala tunasubiri rehma za MUNGU πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»

View: https://www.instagram.com/p/C_xzeM_NL8A/?igsh=a2twYTI2d2gwdHhj
 
Aliyeharibu Kilimo ni Rais yupi?

Bidhaa zilioza na kukosa soko awamu ya nani?

Aliyekuwa anaendekeza migogoro na majirani ni Rais gani?

Mwisho unaweza nitajia investment yeyote aliyofanya Mwendazake kwenye sekta ya Kilimo?

Kwani bila Cargo plane za ATCL hakuna Cargo plane za mashirika mengine?

Kwani wakati ATCL haina mandege hayo yanayoleta hasara tikuwa hatusafiri na low budget private planes? 😁😁
 
Kundustan mna akili ndogo sana kuhusu concept ya Utalii πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6
Sasa watalii wa ndani wanakuwaje visitors? πŸ˜‚ πŸ˜‚ Ndio maana huwa nasema humu hizi data za tourism za Kenya na Tz huwa hazimake sense. There's something that's never been clear to me.
We've been receiving more visitors by far alafu wanasema wanapata pesa kutushinda.
JKIA alone handles over 8M passengers, all their airports combined hazifiki hata 5M - bado waseme wanapata more than us.
There is a lot of cooking and opacity in your data. Sasa Kenya tunaweka visitors, nyinyi mnajiweka wenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚. Doesn't even make sense. How do you even determine you were a visitor in your own country and the other person was not?
 
Aliyeharibu Kilimo ni Rais yupi?

Bidhaa zilioza na kukosa soko awamu ya nani?

Aliyekuwa anaendekeza migogoro na majirani ni Rais gani?

Mwisho unaweza nitajia investment yeyote aliyofanya Mwendazake kwenye sekta ya Kilimo?
eti aliharibu kilimo wewe punguani kweli, wale wakulima wakorosho waliokua wanapigwa na madalali miaka yote siku hzi wapo?? au mumesahau leo? πŸ˜‚πŸ˜‚

so ulitaka waingize mufugo yao kwenye hifadhi za taifa kwan sheria ya hifadhi inasemaje?? yeye alitala sheria ifuatwe ukiingiza mifugo kwenye hifadhi unataifishwa ndivo sheria inasema full stopπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


sio kilimo pekee mpaka mageuzi yaliofanyika kwenye uvuvi na ufugaji leo hii tuanshangilia kuuza nyama oman na nchi za kiarabu bila zile modern slaughter za kimataifa kujengwa unafkiri tungepewa tender ya kuuza nyama nje ya nchi hii??πŸ˜‚πŸ˜‚ na alikua anatuambia tunaongoza kwa ng'ombe africa sijui tuko number mbili
 
enjoy plz πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

View: https://youtu.be/OWNgcxZg5go?si=7Te4j-bHaKW4XMtT
 
Madalali mliwamaliza? Kwa hiyo mlivyosomba korosho kwa makarandinga ya Jeshi mkamaliza madalali? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Vipi kuhusu mbaazi na chorokokulosa soko?

Madalali saizi wapo au hawapo? Na Kwa nini?

Mizozo ya Kila mara inayohisu biashara ndio kuingiza mifugo kwenye hifadhi?

Nitajie Mageuzi aliyofanya Mwendazake kwenye Kilimo na Uvuvi na weka ushimahidi maana Kwa mama unaona Kila siku anazindua boti,anawapa mikopo na anatafuta soko la mazao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…