Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi ni nn? Wacheni unafki, aliyetangulia alinunua behewa, nyinyi na serikali yenu corrupt pambaneni mnunue vichwa behewa ziingie relini, mmetuharibia sn mipango yetu.View attachment 3255228View attachment 3255229View attachment 3255231
Kwahiyo unataka kusema mabehewa yalikuwa yavutwe na punda? Unajua kwann yalinunuliwa? Kwavile oder ya South Korea ilikuwa inakawia na yakaletwa yatembee wakati utengenezaji wa mabehewa ya Mkorea yakiendelea! Msukuma mwenzio Kadogosa anapaswa kutuambia vichwa vyake na mabehewa yaliyobaki yako wapi?
 
Hiyo yenu mmetoa wapi kama sio data ya kupika.?
Yenu ndio sio ya kupika? We receive more cruise ships than Tanzania, we receive international visitors from our airports kuliko Tanzania. So nyinyi mnafaa kutuambia hizo numbers zenu mmetoa wapi Kama siyo ya kupika.
 
Naona unaleta ubishi usio na kichwa wala miguu, Mfugale, Kijazi alifungua nani?
Mfugale ujenzi ulianza mwaka 2015 mwisho mwa Jakaya Kwa hela za JAICA so sio Magu.

Sawa kijazi ila njia 8 amemaliza Samia sawa na Magufuli stendi 🤣🤣
 
Approximately is not exactly. Your exact figures were $3.6B.
 
Mfugale ujenzi ulianza mwaka 2015 mwisho mwa Jakaya Kwa hela za JAICA so sio Magu.

Sawa kijazi ila njia 8 amemaliza Samia sawa na Magufuli stendi 🤣🤣
Kwa hiyo Magu kumalizia kujenga miradi iliyosua sua kwenye 2 - 10% hapati credit ila Samia akimalizia miradi iliyofika 30-70% anapata credit, huu ndo ujuha sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…