Huyu chizi anafikiri lile tishio la kuweka vikwazo Kwa nchi nane duniani Kwa kushirikiana na Korea ya kaskazini kijeshi Tanzania tuliingia burebure?
You canβt teach me about styleβ¦ I live in the country which sets trends za styles that the rest of the world followsβ¦ wacha ujinga
Kuna mambo yanaboa sana watu Sio professional wapo tu π€¬π‘ ujinga mwingiMwendokasi ni jibu tosha la aina ya serikali tulionayo. They don't care.
Ni chawaa pekee ( mkazi wa Dar es Salaam anayetumia BRT anaweza sema mitano tena)
Wew panda mwendokasi halafu sema "ila hii serikali" Nina uhakika kila abiria atasema yake jinsi ule usafiri ulivyo mateso
Na kibaya zaidi serikali inajibu uongo, itaongeza mabasi mwaka wa pili sasa. Hakuna hata bus moja. Mwezi huu msigwa alisema wataleta mabasi ( wako kimya). Hawataki kuruhusu watu hata binafsi wawekeze.
Sijui ni wakubwa gan hao wa mwendokasi hawaguswi? Wala hawatetereki
Keyboard warrior niaje πKuishi karibu na mahakama sio kujua sheria mjomba, marekani kuna washamba wengi wasiojua kuvaa hasa ngozi nyeusi, wewe mmoja wapo.
Hivi hizo ni Pen ππππππππππππ
ππHivi hizo ni Pen ππππππππππππ
Au Tester ya umemeππππ
Kama pastor mwanangu π€£ π€£ π€£ π€£stop yappin like a housewife π€£π€£β¦ I challenge you to a duel ya fashion . Mimi na wewe ..Weka picha zako umevaa vizuri tuone β¦ Letβs Go!β¦ lets start with High school all the way to currentβ¦ tuanze na historia..but for you I will make an exceptionβ¦ since you didnβt attend High School , weka za Primo school..ππAs they say, put your money where your mouth is!β¦
Mimi Nikiwa 18 yrs β¦ weka yako ya 18 yrs sasa β¦
View attachment 3267445
Safi sana Kiswahili chetu kizuri asee.
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1899404628451598413
MY TAKE
Huyu jamaa hubeba GenZ ufala sana anajua kwa chapoo wataufyata! Njaa mwana malegezi shibe mwana malevi! Sishangai ikawa mradi wa Rachel Ruto!
I thought you guys said itβs a ppp project and therefore owned by Chinese, why would the auditor general be involved with a privately constructed stadium?
Theyβre talking about underrated or under explored destinations, I donβt know why you read to look for anything to hit us with rather than reading to understand