Ondoa sasa swala la kusema level 5. Na kubari kwamba ulikuwa unataka kutudanganya.Hivi ndio maana huwa tanasema mnabore! Mkishachaapwa mnaanza vijimambo! Unataka sasa tuanze kupingana kama ni level five! I told you a simple thing! Orodhesha 20 bora za Dar! Orodhesha hapa sasa na uache vijimambo umeanza!
Niseme uongo nipate nini? Acha kupigana Karen Hospital used to be level three before the upgradeNimesema kwenu huko hakuna? ile hospital ulikuwa unasema uongo kuwa ni level 5
We leta za kwenu bana vipi tena?Ondoa sasa swala la kusema level 5. Na kubari kwamba ulikuwa unataka kutudanganya.
Leta reference ya kusema hiyo ni level 5. Level five sio jengo ni service zilizopo pale. Wewe leta reference kwanza. Hapo lazima tukubaliane kwanza kabla ya kuendelea. Sitaki bla bla sawa?Niseme uongo nipate nini? Acha kupigana Karen Hospital used to be level three before the upgrade
alete mara ngapi?..amepost pic nyingi za hospitals tofauti ambazo zipo dar.We leta za kwenu bana vipi tena?
Ujue nimeweka akiba mapicha mengine nawasubiri tu waruke. Mimi nakuja kupiga ngumi ya kueleweka. Unajua tukitaka kuweka list hapa ni ndefu sana.alete mara ngapi?..amepost pic nyingi za hospitals tofauti ambazo zipo dar.
au unataka arudie pic?...it's up to you to counterpunch.wacha siasa.
Jamani utanifunza nini maana ya level 5! Maanake umeshindwa kuorodhesha ya kwenu, sijagusa level 4! Hapo umetii, twende aspect ingine! City Masterplan ready?Leta reference ya kusema hiyo ni level 5. Level five sio jengo ni service zilizopo pale. Wewe leta reference kwanza. Hapo lazima tukubaliane kwanza kabla ya kuendelea. Sitaki bla bla sawa?
Mimi nataka evidence kwamba hiyo hospital ni level 5 basi ili tuweze kwenda sawa.Jamani utanifunza nini maana ya level 5! Maanake umeshindwa kuorodhesha ya kwenu, sijagusa level 4! Hapo umetii, twende aspect ingine! City Masterplan ready?
Tulia man, shida yako huwa ni hii! Ulisikia nikimuuliza nini? Picha nimeziona, lakini ni za hospitali 5 tu! Nasema aorodheshe zifike ishirini zile poa, kama ni picha tutagoogle wenyewe! Aweke high end list of not less than 20! Kazi ingine yakuzijua ni wenyewe tutafanya!alete mara ngapi?..amepost pic nyingi za hospitals tofauti ambazo zipo dar.
au unataka arudie pic?...it's up to you to counterpunch.wacha siasa.
Hey wanjala tumpe haki yaki,ndio anyamaze...Tulia man, shida yako huwa ni hii! Ulisikia nikimuuliza nini? Picha nimeziona, lakini ni za hospitali 5 tu! Nasema aorodheshe zifike ishirini zile poa, kama ni picha tutagoogle wenyewe! Aweke high end list of not less than 20! Kazi ingine yakuzijua ni wenyewe tutafanya!
Kwanini unadanganya wazi wazi. Hebu hesabu nimetupia picha ngapi? Eti tano au unataka nikutajieTulia man, shida yako huwa ni hii! Ulisikia nikimuuliza nini? Picha nimeziona, lakini ni za hospitali 5 tu! Nasema aorodheshe zifike ishirini zile poa, kama ni picha tutagoogle wenyewe! Aweke high end list of not less than 20! Kazi ingine yakuzijua ni wenyewe tutafanya!
Njia ya mwongo ni fupiKwanini unadanganya wazi wazi. Hebu hesabu nimetupia picha ngapi? Eti tano au unataka nikutajie
1. AMI
2. Detal Studio
3. Esnain
4. International eye
5. IMTU
6. Kairuki
7. London
8. MOI
9 . National Institute of Medical Reseach
10. Ocean Road
11. Sali International Hospital
12. Sanita
13. TMJ
14. Rasibisia
15. Regency
Kwanini unataka kudanganya?
Bado zipo kibao tu sijaziweka wewe unataka kuleta uongo.
You want to know if Kenya has level 5 hospital.... Dude are you mad, we are the ones who should be asking if tz Kuna level 5 hospitalKwanini unadanganya wazi wazi. Hebu hesabu nimetupia picha ngapi? Eti tano au unataka nikutajie
1. AMI
2. Detal Studio
3. Esnain
4. International eye
5. IMTU
6. Kairuki
7. London
8. MOI
9 . National Institute of Medical Reseach
10. Ocean Road
11. Sali International Hospital
12. Sanita
13. TMJ
14. Rasibisia
15. Regency
Kwanini unataka kudanganya?
Bado zipo kibao tu sijaziweka wewe unataka kuleta uongo.
Mwenzako ndio kasema kuhusu level 5. I want him to give me proof. Sasa mnapo lia lia tuwafanyie nini?You want to know if Kenya has level 5 hospital.... Dude are you mad, we are the ones who should be asking if tz Kuna level 5 hospital
Acha uongo wewe. Kama umeshindwa kuleta proof basi tuendeleeBana wee! Kwani mimi ninaishi America? Sahi hizi wewe ukiulizwa 5 star hotel Dar hujui? Lazima utafute kwa links?
Ifanyie utafiti mwenyewe, sahi mi sina time ya kutafuta ma link!
Mimi nilikuwa nahesabu toka kwa picha alizo post.Njia ya mwongo ni fupi