Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zako nazichambua kwenye google lakini zanipa taabu! Zingine hazipatikani, Zingenine ni learning centers na Research Hebu google Rasibisia utapata nini?Acha uongo wewe. Kama umeshindwa kuleta proof basi tuendelee
Zako nazichambua kwenye google lakini zanipa taabu! Zingine hazipatikani, Zingenine ni learning centers na Research Hebu google Rasibisia utapata nini?Acha uongo wewe. Kama umeshindwa kuleta proof basi tuendelee
Check HapaZako nazichambua kwenye google lakini zanipa taabu! Zingine hazipatikani, Zingenine ni learning centers na Research Hebu google Rasibisia utapata nini?
As you can see i never enlisted any learning or research center! It doesn't mean they are not there but i wanted purely hospitals!Where is references?
Mambo ya majengo ya mkoloni sijui kakuambia nani. Na basi heri nisalie na ushamba wangu kama ushamba ndio huo. Nashangaa tena sana. Hivi wewe umefika huku ama waongea tu. Hizi picha za mitandaoni unazotutumia hapa hazitoshi mboga mjomba. Nikikuambia Nairobi kuna Karen, Runda, Kileleshwa, Westlands, Upper hill, Ngong nk. Utasema nimejiundia hayo. Chema chajiuza babu. Wajua suala ni moja, yule ambaye hajatembea sana hudhani mamake ndio mpishi bora zaidi na sioni tofauti hapa.Majengo ya kuvuti kwako kwa sababu wewe ni mshamba. Sisi sio sehemu moja tu yenyemajengo ya kuvutia. Ni sehemu nyingi mno. Nyie kasehemu kamoja tu na majengo mengi ya mkoloni. Twende kwenye health centers bra bra.
Sasa hayo majina mbona hata hapa yapo tu? Kwanini usiweke hizo photo tuanze mtaa kwa mtaa ku compare?Mambo ya majengo ya mkoloni sijui kakuambia nani. Na basi heri nisalie na ushamba wangu kama ushamba ndio huo. Nashangaa tena sana. Hivi wewe umefika huku ama waongea tu. Hizi picha za mitandaoni unazotutumia hapa haotoshi mjomba. Nikikuambia Nairobi kuna Karen, Runda, Kileleshwa, Westlands, Upper hill, Ngong nk. Utasema nimejiundia hayo. Chema chajiuza babu. Wajua suala ni moja, yule ambaye hajatembea sana hudhani mamake ndio mpishi bora zaidi na sioni tofauti hapa.
like serious?!![emoji116] [emoji116] [emoji116]Google Rasibisia and you get nothing on Google
Unajua hawa watu tunataka kuwaonesha kwamba sisi ni wababe. Wasidanganywe tu. Wanatafuta sababu nyingi kweli.like serious?!![emoji116] [emoji116] [emoji116]
Rabininsia | Home
Hapo sawa, Alikosea spelling akaandika Rasibisia! Nishapatalike serious?!![emoji116] [emoji116] [emoji116]
Rabininsia | Home
Hapo sawa, Alikosea spelling akaandika Rasibisia! Nishapatalike serious?!![emoji116] [emoji116] [emoji116]
Rabininsia | Home
Si ujigooglie basi. Wakati huo sina. Urombe hauanikwi hivi hivi. Sina hatihati kuwa yapendeza. Kama huamini si jinzi unavyoziposti za Dar hapa si ujichambulie mwenyewe za sehemu ulizotaja uone kama nakuhadaa. Mambo mengine ubishi wa bure tu. Hayajengi uchumi na si worth itSasa hayo majina mbona hata hapa yapo tu? Kwanini usiweke hizo photo tuanze mtaa kwa mtaa ku compare?
Maneno mengi ya nini?
Basi kama huwezi hii battle uwe mtazamaji.Si ujigooglie basi. Wakati huo sina. Urombe hauanikwi hivi hivi. Sina hatihati kuwa yapendeza. Kama huamini si jinzi unavyoziposti za Dar hapa si ujichambulie mwenyewe za sehemu ulizotaja uone kama nakuhadaa. Mambo mengine ubishi wa bure tu. Hayajengi uchumi na si worth it
Mimi niliorodhesha hospitali 22 kwa mpigo! wewe ukafika 15 kwa mpigo! Nimewin! twende kwa City MasterplanUnajua hawa watu tunataka kuwaonesha kwamba sisi ni wababe. Wasidanganywe tu. Wanatafuta sababu nyingi kweli.
Anneal, Unasumbua kweli, leo umenimalizia muda sahi ningekuwa nimeandika blog moja! Wacha niachane na mambo yako wewe! Nauna hunauhakika na mambo unayoyasema! Pili naona wajaribu tu kujua Nairobi! Hakuna lolote hapa! Wacha nisapeSasa unakujaje sasa tuende sawa? Au umemaliza hospitals za Nai?
Showing you will really degrade me.. GoogleWhere are references?