Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nielezee kwanza ni MAHALAGE ya wapi ,afu ntatoka humu!....😀😀😀
Huwezi toka jf.umenogewa na mchezo mtamu ninaokufanyia.

fimbo kubwa yangu inafanya wakenya msiweze kuondoka jf.

mnajificha kwa mda,mkiwashwa mnarudi toka mafichoni ili tuwakune.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe weka picha zako. Hiyo MOI umeshaiweka mbona unarudia rudia? Mimi hapa sijarudia chochote. Halafu hebu soma hii taarifa hapa
JKUAT to acquire ICEA building for Sh2 billion
Hakuna mahali nimetia Moi University, This is the first nimetia, umechanganyikiwa, wala JKUA, Hata hapa JKUAT ni Campus tu! Yes it acquired the building fro ICEA lion an insurance company
 
Acha kuweweseka wewe. Mbona unaweweseka hivyo. Umeona vifaa vya chuo cha kairuki wewe!!? Mbona unaweweseka sana? Tulia dawa ikuiingie. Mimi nimekuacha sasa wewe umeanza kuchanganyikiwa wewe tulia.
Tulia bana siniwewe umepost hayo majumba! Wewe endelea kupost! mimi kwa sasa nimefika 15 universities, kwako nakupimia uko number 6! bado nina 40 twende!
 
Tulia bana siniwewe umepost hayo majumba! Wewe endelea kupost! mimi kwa sasa nimefika 15 universities, kwako nakupimia uko number 6! bado nina 40 twende!
Acha uongo usitafute sifa za uongo. Sawa ndugu wewe ingia kwenye vita acha kulia lia. Nilianza kidogo kidogo sasa hivi naanza kukupa za uso usikimbie bado nakuja. Acha kulia.
 
Ndio huu mjengo mpya wa Nairobi University uliokamilika mwaka uliopita

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…