Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...nime apply Tanzanian magic trick...picha zako za ujinga zimetoweka.
sasawa, wacha nitafute za night life, casino etc
na mkitaka za mombasa mniambie
 
sasawa, wacha nitafute za night life, casino etc
na mkitaka za mombasa mniambie
Battle ni Nairobi na Dar. Kama unataka uunganishe na Mombasa sawa itakuwa Dar es salaam vs Nairobi + Mombasa. Tukikubaliana hapo tunaanzisha thread. Sawa?
 
Tanzania wanaishi vichakani na wanapiga kelele hapa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mda huu nimeutazama full documentary ndani ya youtube wanavyoliwa na simba kule Singida na Rufiji nakubaliana na hili.
Jamaa wanaishi vichakani na msituni.
 
DALILI ZA KUISHIWA HOJA...HAHAHAHHAAHHAHAHHAHHA
Kenya 100 Tz-1
Kwikwikwikwi!!. Mmekimbia mbona hamleti maeneo ya kula bata? Au Nyie hakuna sehemu za starehe mnaogopa Al Shabbab?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…