Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
tapika tuu tujue moja.YUUCK!.....WTF!!!...very ugly thirld world pictures....😱😱😱
yuck yuck!....wacha kuwaaibisha wtz wenzako...HAHAHAHAHAHAH
Sasa hizo ulizobandika hapo ni nini? hahahaaahha!
Annael, Acha hizo, kuna tofauti ya Plaza na Mall, kama hujui tafuta dictionary ama Google translate! Plaza is a mixed use office space mostly! Can have a shop to cater for the tenants! But it is not a real shopping destination!Tatizo akili zenu bado za kizamani. Wewe unadhani mall ni yele majengo ya kizamani yale ya kikiloni. Hapa Tanzania majengo ni ya kisasa yanaendana na wakati. Kunakuwa na one complex building. Chini shopping mall halafu juu wanaweza weka kazi zingine. Kwa sababu wewe bado ni mshamba na unaishi na akili za kikoloni ndio maana unashangaa. Kwikwikwikwikwi
Watanzania vituko vituko tu! kila mtu mfano wa KingwendoYUUCK!.....WTF!!!...very ugly thirld world pictures....😱😱😱
yuck yuck!....wacha kuwaaibisha wtz wenzako...HAHAHAHAHAHAH
Sasa hizo ulizobandika hapo ni nini? hahahaaahha!
hahahahahaha made my day. kingwendoooooooooWatanzania vituko vituko tu! kila mtu mfano wa Kingwendo
Mi nilisema kitambo Sana Hilo jambo.... Ushamba unamsumbua. Its very clear watu wengine hapa wako Na ushamba mwingi Sana.Huyu nishagundua ni mshamba flani hivi katoka sijui Upareni/Usukumani juzi labda ata Uchaggani, kaingia huo mji mchafu wa dunia ya tatu uitwao Dar, kaona keshafika akhera.
Itokee siku tu,akakwee pipa na kutoka nje ya Bongo bas,kidogo atapatwa na msukumo wa damu.
Hutomwona abadan kahtaan humu JF na bandiko za kipuzi.
View attachment 458948
Mt kilimanjaro seen from Nairobi city.
View attachment 458951
Mt Kenya seen from Nairobi National Park.
[emoji23] [emoji23] mtaishia kuuona tu huku roho zikiwauma karibu tz upande mt KilimanjaroHahahaha... Wajenge ukuta ndio tusione Kili kutoka Nrb
[emoji23] [emoji23] mtaishia kuuona tu huku roho zikiwauma karibu tz upande mt Kilimanjaro
It's best viewed from the Kenyan side by the way. Au waweke giant curtain hahahahahaHahahaha... Wajenge ukuta ndio tusione Kili kutoka Nrb
Maneno yako yanadhihirisha pole lakini ila nyie si mnamlima Kenya "the ugliest mountain in the world"Tihahahhaaaaa... Mbona haijatuuma wakati huu wote...
kwenye mademu hawatukuti kabisaaa, am a Tanzanian married to a Kenyan and we are living in Nairobi, wana mademu wabayaaa, hawajui kuvaa, usafi ndio zeroooo, mmmhhh msifananishe mademu wa kibongo na vitu vya ajabu jamoniiina mademu wazuri pia tulinganishe