Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Beachcomber
884_1404725727_97.jpg
2012-08-16.jpg
2016-10-15.jpg
2016-11-07.jpg
20161020_164356.jpg
20161020_164359.jpg
20161020_184739.jpg
26584488.jpg
IMG_4445.JPG
IMG_4892.JPG
IMG_4909.JPG
 
endelea kushusha vitu kamanda.tuliwapa nafasi siku nzima ya Leo,walishindwa kuitumia vizuri kuweka picha wakaitumia kupiga umbeya.

wenye battle yetu tumerudi ku-take over.dondoshaaaaaa.
Jamaa Depay inamuuma sana anatamani mambo haya, lakini masikini wa Mungu hajabahatika kuwa nayo.
 
Peleka hizo Sengerema.Kila wakati a vs b, c vs d.... Achana kabisa.
Kwikwikwi ndio sasa mjue mdomo mdomo wenu fungeni. Kelele zenu za kuizidi TZ ziishie kwenu hukoooo.
 
Jamaa Depay inamuuma sana anatamani mambo haya, lakini masikini wa Mungu hajabahatika kuwa nayo.
nimemwambia kama anataka kuja kuspend dar aseme nimtumie nauli,anasema anamuogopa mke wangu.eti anadai mke wangu akijua atapata "muhadhara".[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
It's a missmatch Annael... hatuna battle na nyinyi... Standards zenu ni huko Mozambique.... Do that... and that should always get into your cabbage head.
By the way Depay i visited Nairaland forum, na huko we are taking on big fish!!! jo'burg, Abuja, Lagos etc!!!! Huko mambo ni serious
 
The thread is about Dar es salaam vs Nairobi.
Kwanini mlikubali battle hiyo wakati mnajua kwamba Dar is a costal city?
Anzisha thread sasa ya Nairobi vs Dodoma. You have to show us which is in Nairobi but not in Dar es salaam. This is very simple arithmetic. Now am showing you which is in Dar but not in Nairobi.
Ni sawa, bahari na beach does not prove anything on Dar vs Nairobi at all, after you finish posting you come back to realize Nairobi is still mighty!
 
Waaaaaw! That is why we call it the beautiful city of Africa, National park, Mt Kenya, Mt Kilimanjaro Oooh My so lovely
i bet you can't say "waaaaaw"! again after you read this.[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
00c77343cd2a196a4e06b48adde01a1a.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wenye wivu wajinyonge[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamaa Depay inamuuma sana anatamani mambo haya, lakini masikini wa Mungu hajabahatika kuwa nayo.

Hahahaha..... Wewe mwenyewe hauna hata baisikeli ya Mbao unakimbilia tu google picha this picha that..... Masikini wa kutupwa
 
By the way Depay i visited Nairaland forum, na huko we are taking on big fish!!! jo'burg, Abuja, Lagos etc!!!! Huko mambo ni serious

Afadhali hata huko tuwachane na hii swimming pool.....Nairaland here we come.
 
Ni sawa, bahari na beach does not prove anything on Dar vs Nairobi at all, after you finish posting you come back to realize Nairobi is still mighty!
Kama hutaki acha. Wewe post vitu ambavyo vipo Nairobi Dar hakuna.
1. Hotels Dar zipo
2. Shopping mall zipo
3. Universities zipo
Sasa katika mambo ambayo Nairobi yapo na Dar yapo hiyo haiwezi ikaonesha utofauti kati na Dar na Nai.
Sasa tunataka vitu tofauti sasa ambavyo Nairobi vipo Dar hakuna. Mambo ya majengo majengo tumeshayaona.
 
Hahahaha..... Wewe mwenyewe hauna hata baisikeli ya Mbao unakimbilia tu google picha this picha that..... Masikini wa kutupwa
Masikini wa Mungu povu linakutoka. Unashangaa sana jinsi ulivyodanganywa shuleni na kukomaa kweli na kujiweka eti masikini wa Mungu kama wazungu. Kwikwikwikwikwi, masikini wa Mungu amekua na ameelewa saa amebaki kuweweseka.
 
Kama hutaki acha. Wewe post vitu ambavyo vipo Nairobi Dar hakuna.
1. Hotels Dar zipo
2. Shopping mall zipo
3. Universities zipo
Sasa katika mambo ambayo Nairobi yapo na Dar yapo hiyo haiwezi ikaonesha utofauti kati na Dar na Nai.
Sasa tunataka vitu tofauti sasa ambavyo Nairobi vipo Dar hakuna. Mambo ya majengo majengo tumeshayaona.
We acha kutuzungusha! Tulikuwa tunalinganisha vitu vilivyoko miji hii miwili sio vile haviko umeshindwa kubali yaishe, kutafuta vijisababu haisaidii katu!!!
 
Back
Top Bottom