Jamaa Depay inamuuma sana anatamani mambo haya, lakini masikini wa Mungu hajabahatika kuwa nayo.endelea kushusha vitu kamanda.tuliwapa nafasi siku nzima ya Leo,walishindwa kuitumia vizuri kuweka picha wakaitumia kupiga umbeya.
wenye battle yetu tumerudi ku-take over.dondoshaaaaaa.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Peleka hizo Sengerema.Kila wakati a vs b, c vs d.... Achana kabisa.
Waaaaaw! That is why we call it the beautiful city of Africa, National park, Mt Kenya, Mt Kilimanjaro Oooh My so lovelyView attachment 458948
Mt kilimanjaro seen from Nairobi city.
View attachment 458951
Mt Kenya seen from Nairobi National Park.
nimemwambia kama anataka kuja kuspend dar aseme nimtumie nauli,anasema anamuogopa mke wangu.eti anadai mke wangu akijua atapata "muhadhara".[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa Depay inamuuma sana anatamani mambo haya, lakini masikini wa Mungu hajabahatika kuwa nayo.
By the way Depay i visited Nairaland forum, na huko we are taking on big fish!!! jo'burg, Abuja, Lagos etc!!!! Huko mambo ni seriousIt's a missmatch Annael... hatuna battle na nyinyi... Standards zenu ni huko Mozambique.... Do that... and that should always get into your cabbage head.
Mbona unahangaika na kupost za Nairobi, Za dar zimeisha?
Ni sawa, bahari na beach does not prove anything on Dar vs Nairobi at all, after you finish posting you come back to realize Nairobi is still mighty!The thread is about Dar es salaam vs Nairobi.
Kwanini mlikubali battle hiyo wakati mnajua kwamba Dar is a costal city?
Anzisha thread sasa ya Nairobi vs Dodoma. You have to show us which is in Nairobi but not in Dar es salaam. This is very simple arithmetic. Now am showing you which is in Dar but not in Nairobi.
i bet you can't say "waaaaaw"! again after you read this.[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Waaaaaw! That is why we call it the beautiful city of Africa, National park, Mt Kenya, Mt Kilimanjaro Oooh My so lovely
Jamaa Depay inamuuma sana anatamani mambo haya, lakini masikini wa Mungu hajabahatika kuwa nayo.
By the way Depay i visited Nairaland forum, na huko we are taking on big fish!!! jo'burg, Abuja, Lagos etc!!!! Huko mambo ni serious
Kama hutaki acha. Wewe post vitu ambavyo vipo Nairobi Dar hakuna.Ni sawa, bahari na beach does not prove anything on Dar vs Nairobi at all, after you finish posting you come back to realize Nairobi is still mighty!
Bahari sio mji! Kama ni resorts sasa twende kaziDar es Salaam Skyline by Mihály Sági, sur Flickr
Dar es Salaam by Mihály Sági, sur Flickr
Dar es Salaam from Above by Mihály Sági, sur Flickr
Dar es Salaam Bay by Mihály Sági, sur Flickr
acha kulia lia kama mtoto mdogo.Ni sawa, bahari na beach does not prove anything on Dar vs Nairobi at all, after you finish posting you come back to realize Nairobi is still mighty!
Masikini wa Mungu povu linakutoka. Unashangaa sana jinsi ulivyodanganywa shuleni na kukomaa kweli na kujiweka eti masikini wa Mungu kama wazungu. Kwikwikwikwikwi, masikini wa Mungu amekua na ameelewa saa amebaki kuweweseka.Hahahaha..... Wewe mwenyewe hauna hata baisikeli ya Mbao unakimbilia tu google picha this picha that..... Masikini wa kutupwa
We acha kutuzungusha! Tulikuwa tunalinganisha vitu vilivyoko miji hii miwili sio vile haviko umeshindwa kubali yaishe, kutafuta vijisababu haisaidii katu!!!Kama hutaki acha. Wewe post vitu ambavyo vipo Nairobi Dar hakuna.
1. Hotels Dar zipo
2. Shopping mall zipo
3. Universities zipo
Sasa katika mambo ambayo Nairobi yapo na Dar yapo hiyo haiwezi ikaonesha utofauti kati na Dar na Nai.
Sasa tunataka vitu tofauti sasa ambavyo Nairobi vipo Dar hakuna. Mambo ya majengo majengo tumeshayaona.