wew acha uzamani usiwe mzee hii ni Dar mpya kasi yenu ndogo kuliko sis dar kwa kipindi kifupi imechange tena na bado mtakiona cha moto.....nairobi yenu si kitu ipo kawaida sana usijichekeshe we ingia google utapata ukweli hizo ni takwimu za kimataifa.....nyie bado local tu"Dar es salaam is building a biggest dry port in Ruvu"........ Rest in Peace English
ichoboy usiwatupie tena picha wahurumie waache wabaki.ivyo ivyo hao baadhi ya wakenya na ujinga wao...washazoea kichat na watu ambao hawawaletei fact ila waambie na hapo bado pale magomeni na pale kawe ujenzi unaendelea wakibabe....hii ndyo dar bhana
Do you understand what post say ?OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close. After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it. Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
Do you understand what post say ?OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close. After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it. Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
ndugu zangu wakenya mjiongeze bhana ...msikurupuke huko mnavyojenga na sisi huku tunafanya yetu yakijanja zaidi tena ya kasi zaidi msilemae na hyo Nairobi yenu kwani ni yakawaida sana
Umenufurahisha sana unaonesha picha ya future plan ya BRT wakati haipo hata kwenye budget yenu sio leo wala kesho so tuoneshe real pics usiogope hahahahhahhaVipi jamaa unaonesha ulimbukeni? Mwazno umetokea wapi? Ama wewe mgeni JF?? Hujui kwamba Dar tumeifanyia uchambuzi wa kina tayari hapa JF tukaijua?? Unadhani ukizidi hayo majumba matano Dar kuna nini?? BRT?? BRT yenye inapita vichochoroni. Hebu ona ya Nairobi inavyopangwa. Sisi hatupindi kuongelea mambo yajayo, ndio maana hamjasikia, ile siku ikija, picha ndio mtaziona hapa. Usijisifu na BRT ambayo hata management imekuwa taaban, huku zinabeba mfano wa mkokoteni!!
Watch this space,
Hiyo miti hata haitakuzwa, nikubadilisha tu surface.
Hivi sasa inakaa hivi
Dar, tuliiweka League ya Mombasa, na tukajadili sasa wewe vipi jamaa??