Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanza is nothing my friend even to Eldoret our fifth largest. Please cross the borders of your ujamaa village. Asap!!
Mm ninarudia kukwambia hakuna sehem Kenya sijafika utanidanganya nn mm mombasa tuktuk ndio taxi kisum baiskeli ndio taxi hahaha eti city hio
 
Who told u Kenyatta ganja man au sio nenda uone unaleta dharau hapa we unafkiri Kenya ukitoa Nairobi kuna nn jinga we mm nimetembea Kenya na hakuna sehem utanidanganya mm
hata mim nimeishi ila chaajabu tunabishana na wasioijua dar na hawajawah kufika na isitoshe kale kanairobi washukuru waliiwaacha wakoloni na wakawapa msaada wakuwapandishia vimiundombinu na vimijengo la sivyo wangekuwa chali zaidi ya hapo
 
hata mim nimeishi ila chaajabu tunabishana na wasioijua dar na hawajawah kufika na isitoshe kale kanairobi washukuru waliiwaacha wakoloni na wakawapa msaada wakuwapandishia vimiundombinu na vimijengo la sivyo wangekuwa chali zaidi ya hapo
Watanzania maskini kulia lia ati wametembea kenya ..name the place you travelled tujue ..hii tabia yenyu ya utoto tunaijua ...can someone post nairobi photos hawa newcomers wakimye
 
Mm ninarudia kukwambia hakuna sehem Kenya sijafika utanidanganya nn mm mombasa tuktuk ndio taxi kisum baiskeli ndio taxi hahaha eti city hio

Na mimi nakuambia I have worked in your country. I know it in out, left and right. Now if you like, The country in front if you is Kenya and foor the next many decades if you care. Your country will never. The ideology that is Ujamaa is in the minds of the people.Take that to the bank. Unatisha nani hapa ati umefika Kenya. My foot
 
Watanzania maskini kulia lia ati wametembea kenya ..name the place you travelled tujue ..hii tabia yenyu ya utoto tunaijua ...can someone post nairobi photos hawa newcomers wakimye
Nimefika nairobi , nakuru,mombasa,kisii,kericho homabay,migori, naivasha,malindi,
 
Hutaki au we ndio ulinipa pesa ya kuja huko kwan Kenya kuna nn zaidi ya njaa
 
Watanzania maskini kulia lia ati wametembea kenya ..name the place you travelled tujue ..hii tabia yenyu ya utoto tunaijua ...can someone post nairobi photos hawa newcomers wakimye
fuatilia takwimu za world kisha tafuta sehemu kati ya watanzani na wakenya ni nchi ipi inaongoza kuwa na wananchi wengi maskini kisha ujicheke...
 
Julia
Watanzania maskini kulia lia ati wametembea kenya ..name the place you travelled tujue ..hii tabia yenyu ya utoto tunaijua ...can someone post nairobi photos hawa newcomers wakimye
Lia wakat mliingizwa mjini na wabongo ndio maana manzi wa Kenya wanapenda chalii wakibongo wanajua kuvaa wanajua freestyle sio nyie munavaa koti kwenye jua Kali uonekane kma mzungu idiot
 
Nimefika nairobi , nakuru,mombasa,kisii,kericho homabay,migori, naivasha,malindi,

Hujafika. You Danganyikans lie blatantly in the hope that somebody can hear you. Bado and i insist bado hata hujawahi toka nje ya kijiji chako cha ujamaa. With your sort of grammar do you even know the route to yojr District headquarters... Come on nenda kadanganye ndege manzense
 
kama ulikuja kufanya kazi ya kupiga deki sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…