Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimefika nairobi , nakuru,mombasa,kisii,kericho homabay,migori, naivasha,malindi,
Unathani wangapi wametuambia hivyo ..karibu kila mtu jf(tanzanian)amefika hizo places ...we are not stupid ..iam kenyan na mimi mwenyewe most of the places sijaenda ..
 
Julia

Lia wakat mliingizwa mjini na wabongo ndio maana manzi wa Kenya wanapenda chalii wakibongo wanajua kuvaa wanajua freestyle sio nyie munavaa koti kwenye jua Kali uonekane kma mzungu idiot
Toddler ...just shut the hell up kama huna point ...hii thread ya kenya ni ya serious people ..huku hatueki watu wapumbavu
 
Kawaida yenu kucheka kwa dharau lakin ukweli ndio utake usitake leo nimeona habari mkenya anakwambia willy smith yuko Serengeti Kenya haha hata kipofu anajua Serengeti iko Tanzania munashangaza dunia...mumejaa ujinga tu
Hayo ni mapuuzi sana sijawahi kuona
 
The three year old new Business district, Upper hill. Now we have three business Districts in Nairobi


Old CBD




Third Business District, Westlands









Other Business District Coming up
Kilimani




Langata




Nearly four business districts, Tell me (With use of Images, to Show no house repeats) Four Business districts in Dar
 
Watanzania maskini kulia lia ati wametembea kenya ..name the place you travelled tujue ..hii tabia yenyu ya utoto tunaijua ...can someone post nairobi photos hawa newcomers wakimye
Tabia yenyu hahaaaahaaaahaaa kweli waliokimbia umande utawajua
 
Wekeya huyu jamaa southern bypass
 
Hiki kiswahili au nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…