Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NAIROBI UNIVERSITY

cropped_1.jpg
DSC00616.JPG
university_nairobi-2.JPG
images (3).jpeg
Main C.jpg
images (2).jpeg
chiromo1.jpg
 
HAHA...GDP per capita ya Kenya ni 1200USD na Tanzania ni 694USD na bongolala hapa anafikiria eti Dar ina biashara nyingi. Tukifunga makampuni ya Kenya huko Dar watu zaidi ya laki moja wanalala njaa...Hahaha
Kenya watu wake wengi wanalala njaa ,ndio maana mnakimbilia Dar
Mnakuja kufanya nini huko si mbaki Nairobi kibera kwenye slums nyingi.Na tutaanza kampeni ya kuwatoa wakenya Dar, wengine wamefoji vyeti vya Tz
 
Si wewe ndiye umekuwa ukiomba "references"? Haya ndio hiyo hapo, Kenya's hospitality industry ndio kubwa zaidi eneo hili. Haya mambo ya kusema "sisi yetu ndio kubwa na bora zaidi" bila kucite sources zozote ni porojo tupu.

Hey, na by the way, wajua kwamba:

1. JKIA pekee, (ukitoa Wilson airport) hupokea wasafiri wengi zaidi, more than 5 major Tanzanian airports combined?
2. Five major banks in Kenya have bigger net worth (combined) than the entire Tanzanian banking industry.
3. Six major Kenyan insurance firms have a net worth larger than the entire Tanzanian insurance indutry.
4. Kenya has the second biggest retail sector in Africa after SA.
5. Kenya surpassed SA in Africa last year
6. And ofcoss, Kenya is the most industrialized country in the whole of east and central Africa.

Baada ya kumalizana na mambo hayo mengine yote, tuanze kujadili maswala haya. Call me when u are ready.
Ndugu hapa tunaenda step by step. Sasa hizo kelele peleka kibera. Hapa post picha maneno mengi kama muuza nyanya ya nini?
 
Kenya watu wake wengi wanalala njaa ,ndio maana mnakimbilia Dar
Mnakuja kufanya nini huko si mbaki Nairobi kibera kwenye slums nyingi.Na tutaanza kampeni ya kuwatoa wakenya Dar, wengine wamefoji vyeti vya Tz

Tumekuja kuwaamsha. Unafikiria kwa nini sisi huwaita bongolala. Kampuni za China na US zinapokuja Africa yamaanisha eti nchi zao wanalala njaa?
 

Naona hapa tushamaliza,
wacha ni wape link
Top 200 Universities in Africa | 2016 University Rankings
In top 50 we have 7 universities Africa has 54 countries! Out of 54 countries, it means we are doing fine! Dar has 1 University of Dar es Salaam!
Hiyo chapter closed!
Another chapter? Annael?
 
Tumekuja kuwaamsha. Unafikiria kwa nini sisi huwaita bongolala. Kampuni za China na US zinapokuja Africa yamaanisha eti nchi zao wanalala njaa?
Wewe peleka povu huko hapa weka picha. Sio maneno .
 
Ndugu hapa tunaenda step by step. Sasa hizo kelele peleka kibera. Hapa post picha maneno mengi kama muuza nyanya ya nini?
Picha tuu bila taarifa zaidi? Nigetegemea kama ni kuzungumzia aspect flani na pia mgekua mnaweka na "references", kama vile wewe umekuwa ukdemand hapa kila mara mtanzania mwenzako akisema kitu kuhusu Kenya usichokubaliana nacho. Wewe mwenyewe umekiuka sheria zako kwa kudai Dar iko mbele kwa hili na lile bila kuweka evidence yoyote kusupport madai yako.
 
Picha tuu bila taarifa zaidi? Nigetegemea kama ni kuzungumzia aspect flani na pia mgekua mnaweka na "references", kama vile wewe umekuwa ukdemand hapa kila mara mtanzania mwenzako akisema kitu kuhusu Kenya usichokubaliana nacho. Wewe mwenyewe umekiuka sheria zako kwa kudai Dar iko mbele kwa hili na lile bila kuweka evidence yoyote kusupport madai yako.
Wacha maneno weka mziki
 
Kulingana na baadhi ya wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
hapa dar itashinda tu kwa city master plan
 
Hicho ni Kiswahili ulichokiandika hapo ama ni Kisukuma?
Eti mnajidai mitanzania na Kiswahili, wapi na wapi?
Aibu tupu!
Hahaa sikia wewe kiswahili cha TZ kina swanga sawa na huwezi kuzijua swanga za DAR kama wewe sio mzariwa wa TZ. ok kwasababu kiswahili nicha TZ naweza kukifanya chochote nitacho mimi nasio wewe hahhaaaa wa kenya na kiswahili wapi nawapi bana kazi kuitangazia Dunia kua nyinyi ndo wahanzirishi wakiswahili tena bira hata haibu mweeee. Hahahhahaa wakenya mna mambo kweli tabiazenu zakujisifia hujinga zime mponda fece miss world na 5
Hicho ni Kiswahili ulichokiandika hapo ama ni Kisukuma?
Eti mnajidai mitanzania na Kiswahili, wapi na wapi?
Aibu tupu!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] sikia wewe kiswahili cha TZ kina swaanga sawa. na huwezi kuzijua swanga za DAR kama wewe sio mzariwa wa TZ. ok kwasababu kiswahili nicha TZ naweza kukifanya chochote nitacho mimi nasio wewe hahhaaaa wa kenya na kiswahili wapi nawapi bana kazi kuitangazia Dunia kua nyinyi ndo wahanzirishi wakiswahili tena bira hata haibu mweeee. Hahahhahaa wakenya mna mambo kweli tabiazenu zakujisifia hujinga zime mponda fakes miss world na 5 hahaha kasema wamasai wana patikana kenya pekehake hahahahhahahahaa kweli nyie mkoradhi mtupe sum wa TZ SOTE TUFE ILANDO HAIWEZEKANI ...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
I can't help but notice Tanzanian universities buildings are so tacky. Why can't your universities get good Kenyan architects to do buildings for you like TPA, PSPF and your Parliament which were all done by Kenyans.
Kwikwikwikwikwi. Wewe fuatilia thread. Najua ninachokifanya sijakupatia vyuo kibao. Hicho ni chuo kidogo sana hapa bongo na bado kimewajambisha. Kwikwikwikwi.
 
Back
Top Bottom