Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Technical University
the_technical_university_of_kenya_1.jpg
poly.png
front-article.gif
 
Hahaha hapo DIT kuna Mainframe Computer kama haujui. Nimeweka kwa makusudi kabisa maana huko kwenu hakuna kitu hicho. Wacha kulia lia wewe.
Uongo huo Anneal! Lakini haina wasi, twende,
Graffins College
flash11.jpg


image-slider-11.jpg


InterconBoardRoom.jpg
 
Hahaa sikia wewe kiswahili cha TZ kina swanga sawa na huwezi kuzijua swanga za DAR kama wewe sio mzariwa wa TZ. ok kwasababu kiswahili nicha TZ naweza kukifanya chochote nitacho mimi nasio wewe hahhaaaa wa kenya na kiswahili wapi nawapi bana kazi kuitangazia Dunia kua nyinyi ndo wahanzirishi wakiswahili tena bira hata haibu mweeee. Hahahhahaa wakenya mna mambo kweli tabiazenu zakujisifia hujinga zime mponda fece miss world na 5

[emoji13] [emoji13] [emoji13] sikia wewe kiswahili cha TZ kina swaanga sawa. na huwezi kuzijua swanga za DAR kama wewe sio mzariwa wa TZ. ok kwasababu kiswahili nicha TZ naweza kukifanya chochote nitacho mimi nasio wewe hahhaaaa wa kenya na kiswahili wapi nawapi bana kazi kuitangazia Dunia kua nyinyi ndo wahanzirishi wakiswahili tena bira hata haibu mweeee. Hahahhahaa wakenya mna mambo kweli tabiazenu zakujisifia hujinga zime mponda fakes miss world na 5 hahaha kasema wamasai wana patikana kenya pekehake hahahahhahahahaa kweli nyie mkoradhi mtupe sum wa TZ SOTE TUFE ILANDO HAIWEZEKANI ...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]


HAHAHAHAHAHHAAHHAHA.😀😀😀😀😀😀😱😱😱...FaizaFoxy aje huku akakupe darsa mwana, ikiwa hichi ndicho hicho kiswahili chenu wewe ukiwa mstari wa mbele mwenyewe mmiliki hati wa lugha bila shaka watu wa PATE na LAMU kwnye PWANI ya Kenya wamo matatani.
 
Vipi tena jamani, si bado hiyo ni University of Dar es Salaam!!! Acha hizo bana, Tupe universities zingine!
Bado sijaweka University of Dar es salaam. Wewe subiri nitaiweka tu kaa mkao wa kula.
 
Bado sijaweka University of Dar es salaam. Wewe subiri nitaiweka tu kaa mkao wa kula.
Sawa lakini usiweke Schools zake kutufanya tudhani ni university nyingine tuko rada jamaa!
Kisha tena ulikosea, Kuweka hiyo main frame hapo maana kulingana na link yako sio ya hapo!

Kosa jingine ujue main frame sio kitu geni Kenya! Ulidhani hatuna lakini tunayo! In fact in the IBM master your Mainframe 2 Kenyans emerged among top three!
ibm_mainframe.jpg


IBM launches Mainframe Innovation Hubs in Kenya and South Africa
 
Umeishiwa sasa unaanza kuwaya waya sio?
Nilikuambia sahi niko number 18 out of 56!!!
Hiyo tu ni by the way! Vile nimeona unadhani Kenya hatuna Mainframe! Twende Kazi, Ila hiyo VETA iko down sana! Hiyo hatutahesabu! Halingani hata na shule ya msingi! Sincerely speaking! Hata wewe ukiiangalia kweli utahesabu kama ni chuo kikuu?
 
Back
Top Bottom