Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo huo Anneal! Lakini haina wasi, twende,Hahaha hapo DIT kuna Mainframe Computer kama haujui. Nimeweka kwa makusudi kabisa maana huko kwenu hakuna kitu hicho. Wacha kulia lia wewe.
Vipi tena jamani, si bado hiyo ni University of Dar es Salaam!!! Acha hizo bana, Tupe universities zingine!
Hahaa sikia wewe kiswahili cha TZ kina swanga sawa na huwezi kuzijua swanga za DAR kama wewe sio mzariwa wa TZ. ok kwasababu kiswahili nicha TZ naweza kukifanya chochote nitacho mimi nasio wewe hahhaaaa wa kenya na kiswahili wapi nawapi bana kazi kuitangazia Dunia kua nyinyi ndo wahanzirishi wakiswahili tena bira hata haibu mweeee. Hahahhahaa wakenya mna mambo kweli tabiazenu zakujisifia hujinga zime mponda fece miss world na 5
[emoji13] [emoji13] [emoji13] sikia wewe kiswahili cha TZ kina swaanga sawa. na huwezi kuzijua swanga za DAR kama wewe sio mzariwa wa TZ. ok kwasababu kiswahili nicha TZ naweza kukifanya chochote nitacho mimi nasio wewe hahhaaaa wa kenya na kiswahili wapi nawapi bana kazi kuitangazia Dunia kua nyinyi ndo wahanzirishi wakiswahili tena bira hata haibu mweeee. Hahahhahaa wakenya mna mambo kweli tabiazenu zakujisifia hujinga zime mponda fakes miss world na 5 hahaha kasema wamasai wana patikana kenya pekehake hahahahhahahahaa kweli nyie mkoradhi mtupe sum wa TZ SOTE TUFE ILANDO HAIWEZEKANI ...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Soma hapa acha kulia liaUongo huo Anneal! Lakini haina wasi, twende,
Graffins College
![]()
![]()
![]()
Sawa lakini usiweke Schools zake kutufanya tudhani ni university nyingine tuko rada jamaa!Bado sijaweka University of Dar es salaam. Wewe subiri nitaiweka tu kaa mkao wa kula.
Nilikuambia sahi niko number 18 out of 56!!!Umeishiwa sasa unaanza kuwaya waya sio?