Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,718
- 15,347
Kwa hyo mawazo yetu woteee unataka yafanane km ww unaona hv mwenzako ataona vileHUELEWI WEWE,PIGA KIMYA MKUU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hyo mawazo yetu woteee unataka yafanane km ww unaona hv mwenzako ataona vileHUELEWI WEWE,PIGA KIMYA MKUU
Kwa kigezo kama hiki utakua unaifananisha Dae es Salaam na vitu vya kijingaIslands. Hizi hazipo Nairobi kwahiyo itakuwa Nairobi imepigwa bao
Bongoyo Island
View attachment 455930 View attachment 455931 View attachment 455932 View attachment 455933 View attachment 455934 View attachment 455935
Karibu dar ojey.jiji zuri lenye watu wakarimu.me bado narandaranda darView attachment 458207 View attachment 458208
Dar unaishi wapi? na huwa unaenda nairobi wapi kufanya nini?Kweli mna muda wa kupoteza mimi ni mtanzania naishi dar na pia nimeishi nairobi na bado huwa naenda huko mara kwa mara bado hatujawafikia kwa majengo,infrastructue, entertainment na hata hizo future projects labda hiyo bahari tu
Asante kwa maoni yako.Kweli mna muda wa kupoteza mimi ni mtanzania naishi dar na pia nimeishi nairobi na bado huwa naenda huko mara kwa mara bado hatujawafikia kwa majengo,infrastructue, entertainment na hata hizo future projects labda hiyo bahari tu
ukute hawa ndio wale omba omba wa wa kitanzania wanaoranda randa mitaa ya nairobi.wanatuaibisha sana hawa watu sio siri.nilishakutana nao sana nairobi.Dar unaishi wapi? na huwa unaenda nairobi wapi kufanya nini?
Kweli kabisa. Sasa kafika toka mbuga za wanyama huko kisha akapelekwa mabwepande baadae akaplekwa na tapeli mmoja nairobi na kuzungushwa katikati ya mji. Sasa anarudi toka nairobi na kuja kukaa mabwepande akipitia njia ya bunju unategemea huyo mtu mtakuwa kwenye same frequencies!!?ukute hawa ndio wale omba omba wa wa kitanzania wanaoranda randa mitaa ya nairobi.wanatuaibisha sana hawa watu sio siri.nilishakutana sana nairobi.
ukute hawa ndio wale omba omba wa wa kitanzania wanaoranda randa mitaa ya nairobi.wanatuaibisha sana hawa watu sio siri.nilishakutana nao sana nairobi.
hahahahaKweli kabisa. Sasa kafika toka mbuga za wanyama huko kisha akapelekwa mabwepande baadae akaplekwa na tapeli mmoja nairobi na kuzungushwa katikati ya mji. Sasa anarudi toka nairobi na kuja kukaa mabwepande akipitia njia ya bunju unategemea huyo mtu mtakuwa kwenye same frequencies!!?
inawezekana anachojua kuhusu dar ni akifika ubungo kwao tandika hukoDar unaishi wapi? na huwa unaenda nairobi wapi kufanya nini?