Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baba kaondoka panya toka kenya wanajitawala. Nimerudi baba yenu. Mnasemaje watoto toka nairobi? Mnataka kukunwa?
 
demu mkali wa kikenya ana sura kama ya Rashid matumla[emoji23] [emoji125]
 
Tunaingia katika local alcohol drinks.
Vijana wa Nairobi mnasemaje madogo zangu? Depay anajinyea nyea tu hana picha yoyote ya ku post. Zaidi ya kuwa na maneno meengi kama demu aliyeachwa na mwanaume.
 
Kilimanjaro Premium Lager
¾ÆÇÁ¸®Ä«_źÀڴϾÆ_¸ÆÁÖ_ų¸®¸¸ÀÚ·Î_kilimanjaro_beer_2.jpg
2010_03_06-18_33_32-7580_1600L.jpg
beer_13837.jpg
images.jpg
IMG_2672.JPG
maxresdefault.jpg
 
Tunaingia katika local alcohol drinks.
Vijana wa Nairobi mnasemaje madogo zangu? Depay anajinyea nyea tu hana picha yoyote ya ku post. Zaidi ya kuwa na maneno meengi kama demu aliyeachwa na mwanaume.

Hahahaha. You lost the plot long time ago Annael... Wewe ni joker tu..... Utaanza kutuonyesha Konyagi
 
Kwa hili hamtaweza ngoja nihamie kwenye sehemu nyingine.
 
Hahahaha. You lost the plot long time ago Annael... Wewe ni joker tu..... Utaanza kutuonyesha Konyagi
Kwikwikwikwikwi. Ujue tupo kwenye battle. Mbona dogo Depay maneno meeengi kama mkaanga sumu?
 
Things which are only in Dar es salaam
Sasa naanza vitu vilivyo dar pekee huko Nairobi hakuna hapa wataanza kukodoa macho tu.
Naanza na Beahes.
 
Kwikwikwikwikwi. Ujue tupo kwenye battle. Mbona dogo Depay maneno meeengi kama mkaanga sumu?

It's a missmatch Annael... hatuna battle na nyinyi... Standards zenu ni huko Mozambique.... Do that... and that should always get into your cabbage head.
 
Things which are only in Dar es salaam
Sasa naanza vitu vilivyo dar pekee huko Nairobi hakuna hapa wataanza kukodoa macho tu.
Naanza na Beahes.

Tihahahhaaaaa..... Kichwa lazima imeruka.. .. . Do a repost. Kazana kabisa nitakuwa ginish line kukushikia kamba na glucose.
 
Mbona za kawaida sana hafa Malindi peke yake itakutoa jasho jembamba
 
Back
Top Bottom