Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenufurahisha sana unaonesha picha ya future plan ya BRT wakati haipo hata kwenye budget yenu sio leo wala kesho so tuoneshe real pics usiogope hahahahhahha
Mombasa nikiipa Mwanza tu haitoboi is mombasa a city nimekuja juzi from lungalunga to mombasa city Barbara zote mbovu city majengo yamechakaaSi usome post nimeandika kwa kiswahili unaogopa kusoma, ni uvivu,
Nimesema, sio tabia yetu wakenya, nivile tu, unadhani BRT ni jiji!! Pili, wewe unadhani kama hakuna mpango, nimetoa wapi Renders?? Mradi huwa unapendekezwa, study ifanywe ya mazingira na faida zake, kisha plani zichorwe, kisha ijengwe. Hio sasa imefika planing stage, ndio maana unaona picha kama hizo, ama unadhani mimi nimechora?
Haya basi achana nayo, nilikuwa tu nakujulisha. Ujue Dar iko league ya Mombasa na tulimaza hayo, Ona Mombasa hapa
level ya Dar
![]()
![]()
siku nyingine usirudie mombasa huwezi ifananisha na dar hata siku moja ....pitia tips za kimataifa takwimu zakisomi utajua mim nimeishi nairobi na pia hata mombasa hamna cha kilichonishangaza hata kidogo...kawaida tena sana tofauti ni mademu wenu wanashobokea sana washikaj wakibongo.Si usome post nimeandika kwa kiswahili unaogopa kusoma, ni uvivu,
Nimesema, sio tabia yetu wakenya, nivile tu, unadhani BRT ni jiji!! Pili, wewe unadhani kama hakuna mpango, nimetoa wapi Renders?? Mradi huwa unapendekezwa, study ifanywe ya mazingira na faida zake, kisha plani zichorwe, kisha ijengwe. Hio sasa imefika planing stage, ndio maana unaona picha kama hizo, ama unadhani mimi nimechora?
Haya basi achana nayo, nilikuwa tu nakujulisha. Ujue Dar iko league ya Mombasa na tulimaza hayo, Ona Mombasa hapa
level ya Dar
![]()
![]()
Julius nyerere terminal 3View attachment 478268 View attachment 478269
siku nyingine usirudie mombasa huwezi ifananisha na dar hata siku moja ....pitia tips za kimataifa takwimu zakisomi utajua mim nimeishi nairobi na pia hata mombasa hamna cha kilichonishangaza hata kidogo...kawaida tena sana tofauti ni mademu wenu wanashobokea sana washikaj wakibongo.
Wakenya siku zote wao wanajiona superior kumbe hawajui tumenyamza tunajenga nchi kimya kimya na leo hawajui ukame na njaa kwao umesababishwa na Tanzania kuzuia mazao kwenda kwao na magufuli
Mombasa nikiipa Mwanza tu haitoboi is mombasa a city nimekuja juzi from lungalunga to mombasa city Barbara zote mbovu city majengo yamechakaa
Nakuru is not a city my friend nakuru naifananisha na moshi hahahahaMwanza is the size of Nakuru. We finished this competition long time ago. You are bavk from the dead or what????
Kawaulize wachumi wenu ndio wanajua njaa nani kasababisha, magufuli kazuia over hundred trucks of maize zisiende kenya we unajua nn kula miraa tuPwahahahaa.... Ukame is a climatic phenomenon cabbage head. Ptoh.... Don't show your ignorance here