ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
ushawah fika tanga au maneno ya kanga yanakusumbua mtoto wa kiume kilifi watu wamekufa na njaa ndio ufananishe na tangaTanga tunawapa Kilifi tuuu.... Hamna chochote hapo. Uswahili tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushawah fika tanga au maneno ya kanga yanakusumbua mtoto wa kiume kilifi watu wamekufa na njaa ndio ufananishe na tangaTanga tunawapa Kilifi tuuu.... Hamna chochote hapo. Uswahili tu.
hahahaha hutaki pia hio we unawivu kama manzi wa fulani hivigo back and reread your geography stop displaying your ignorance in public.
ushawah fika tanga au maneno ya kanga yanakusumbua mtoto wa kiume kilifi watu wamekufa na njaa ndio ufananishe na tanga
kumbe ulikua jitahidi uende sasa hivi kama huna pesa maana nimeskia munanjaa so tutakusaidiaI have been to Tanga severally, old and dilapidated. And then you say it's a city....
Do you even know what salinity is? Rudi shule and improve your knowledge.hahahaha hutaki pia hio we unawivu kama manzi wa fulani hivi
hahahaha we msomi unajua nini? hahahah wivu unaua shauri zakoDo you even know what salinity is? Rudi shule and improve your knowledge.
lakin umeelewa somo hahaha vzr nilitaka uingie usome haiko kama hio duniani utapata wapi kama sio tanzaniaSalty lakes do turn red temporarily. Punguza ushamba na ujinga, hio haifanyiki lake natron pekee. soma hio link upunguze ujinga, wacha kujiaibisha. Water turning red in rivers, lakes and seas - Spiritual perspective | SSRF English
hahahha hio nilisoma nikiwa shule hakuna jambo geni kwangu hapo.lakin umeelewa somo hahaha vzr nilitaka uingie usome haiko kama hio duniani utapata wapi kama sio tanzania
Manzi yangu ya kenya...ukoaje.?Tanga tunawapa Kilifi tuuu.... Hamna chochote hapo. Uswahili tu.
kumbe unaikubali tanzania ina vitu vya kipekee duniani...goodhahahha hio nilisoma nikiwa shule hakuna jambo geni kwangu hapo.
