Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

27201135970_ecf27977d9_b.jpg
 
Ila sio siri dar inakua faster sana,uezi kuamini Hapokei kwenye open space ukiliona gorofa linaloendelea kujengwa
ndio kitu kinachowaumiza wakenya wao wanafkiria ni ile tanzania ya 90s hahahahahahaha we kariakoo na ukubwa wake wote 95% magorofa unafanya mchezo
 
It's a fact, angalia major cities vile ziko....
Kampala planning Yao inawashinda kumbe ata
 
It's a fact, angalia major cities vile ziko....
Kampala planning Yao inawashinda kumbe ata
wewe sema ushazidiwa tuendelee na mambo mengine bado tu hukos sababu wenzako wamefunga midomo yao kimya na kwa ukubwa wa dar siwez kuimaliza leo wala kesho bado sijafika hata quater
 
Back
Top Bottom