Kwa kweli ichoboy, motochini na babalao annael mko mmekuja kuwashika sana hawa manyang'au(calling themseleves kenyan sijui #mwanam-ke-nyan),unajua bongo hatupend mambo yetu kuyaweka kwenye mitandao! Annael alijaribu sana kuwasihii nyinyi wake-nyani kuwa don't battle wit us lakini hamkusikia! Sisi ni another level, ikumbumbukwe kenya maeneo mengi wanayojitambia nayo yamejengwa na wakoloni waingereza, wazungu lakini Tanzania especially bongo imejengwa na watanzania wenyewe kwa jasho letu baada ya uhuru,wajerumani na waingereza hawakuwa na mawazo ya kiwekeza kwenye ardhi hii, pili Dar ni kubwa mara3 ya Nairobi (Dar 1500's Km2 wakati Nairobi loads 600's Km2), Nairobi hiko concentrated with miundombinu mizuri sehemu moja ambayo ni city center wakati dar inachipua kila mahali, those 1500s km2 are modernised together! Kila project ambayo iko planned dar iko kwenye implementation mfano SGR from Dar to Moro,Ocean road to Coco beach sea bridge ambayo itakuwa na zaidi ya kilometer 5 baharini, Tazara flyover ambayo ikikamilika 2018 itakuwa na kilimeter 1.2, Ubungo intersection ambayo itakuwa na takriban ghorofa 3, highway of morogoro road from poster to chalinze itakayokuwa na barabara 8 na flyover 10 kwa ujumla, Satelite cities tumeshakuwa nazo nyingi sana pre and ready implemented na zingine bado zinamaliziwa mfano dege city, kigamboni city, kijichi city, avic town na nyingine nyingi sana nje ya mji, international bus terminal ambayo itakuwa kubwa kuliko zote afrika mashariki na kati ukitoa leading terminal in central and east ya sasa ambayo iko morogoro itajengwa kibamba, mradi wa bullet train from JNIA( Dar airport) to city center, mradi wa uboreshaji wa train ya TAZARA(1440 kms) ambapo kwasasa zimeshanunuliwa delight train zaidi ya kumi,ambazo kwa kuzitazama ubora na luxury hata SGR train zA nairobi haziingii hata nukta, pia uboreshaji wa reli ya kati ambao umeshaanza, ujenzi wa jengo lefu kuliko yote africa mashariki na la nne kwa urefu Africa liko Dar es salaam Tanzania, urefu Meter 150's, viwanjwa vya mpira na vituo vya mpira vya kimataifa kuliko vyote afrika mashariki na kati viko Dar es salaam- Tanzania,azam complex, Uhuru stadium, Uwanja mkuu wa Taifa, jakaya kikwete yourth center, ukionelea hotels yaan kenya haiingii hata robo kwa tanzania au Dar, Fuatilieni habari za Gurumeti(the no.1 best hotel around the world), Dar ina 5Star hotel nyingi na nzuri kuliko mji wowote africa mashariki na kati, n.k hayo ni mambo machache tukisema tuyalete yote, hatutomaliza, ila tafadhari manyang'au msirudie tena kuifanisha dar na ujinga wenu sijui mnauita Nairobi,Mtu wa kwanza africa mashariki na kati kupata tuzo ya mchezaji bora africa kwa ligi za ndani Afcon anatokea Dar Tanzania,(Mbwana samatta, na jana kawagonga 2 peke yake europa ligi 16 bora reference nendeni kwenye blogs na magazeti na media za uingereza na dunia habari zake, alafu tunao kibao wako ulaya thomas ulimwengu-sweden, Mohamed mussa-german, nditi-england n.k), Mziki ndo usiseme bongofleva now ranked 2nd africa after nigeria, Dimond ally kiba, navy kenzo, n.k mpira ndo usiseme timu za dar zinamatawi mpaka kwenu nairobi maka kongo mpaka burundi mpaka rwanda, derby ya simba na yanga ranked 2nd derby in africa after dat of keizer chief na orlando pirates, nyinyi nyang'au tulikaa kimya tuh lakini mmetuchokoza sana tulieni dawa iingie( mna nini nyie mbwaaa)...!!