Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta list ..you seem to be soo good ku post kibera ..sasa tunataka upost good estates za dar tuone[emoji23][emoji23]name four as you were asked
kwan ww ndio ulinambia nipost kibera au mm nimetafuta kwa muda wangu so na ww hangaika kwa muda wako kutafuta mm nimeshakwambia zimejaa kibao kigamboni,kunduchi mbezi beach ziko za kutosha heheh naona dar inawabamba kisawasawa
 
kwan ww ndio ulinambia nipost kibera au mm nimetafuta kwa muda wangu so na ww hangaika kwa muda wako kutafuta mm nimeshakwambia zimejaa kibao kigamboni,kunduchi mbezi beach ziko za kutosha heheh naona dar inawabamba kisawasawa
Idiot ...circumlocuting like an idiot ...unatumbia hatujui dar ..tukikuuliza kuihusu ..hautaki kujibu ..nashuku even kama umewahi fika hiyo dar ..kazi tu ku google
 
naona munahangaika munatamani kuona modern estate za dar hahaha haya ngoja niwape kionjo maana roho zinawatoka

AVIC TOWN KIGAMBONI
1.jpg
2.jpg
11.jpg
22.jpg
111.png
222.JPG
1111.jpg
2222.jpg
11111.JPG
 
Idiot ...circumlocuting like an idiot ...unatumbia hatujui dar ..tukikuuliza kuihusu ..hautaki kujibu ..nashuku even kama umewahi fika hiyo dar ..kazi tu ku google
aise mm hua ctaki matusi umeskia ntakuteremshia mvua ya matusi mpaka ujikatae, kama umeshindwa kutafuta sema usaidiwe mbona kibera na mathare hatukuwaambia muweke hapa, kua kiakili sio mwili, dar utaijua ww unashindwa kuhangaika au ndio unajipimisha utaweza kujipimisha kwa urban city with 1590 km sq against Nairobi 696 km sq...akili ya kuzaliwa tu hapo
 
this is fire!!..... kenyans shout for me dar es salaammmmmmm!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama nilivo zungumza awali hawa hua wamekaririshwa kua waamini wao sikuzote wako juu kwa kila jambo alaf mtu anakufata anakwambia Kenya iko middle economy wapi umeskia nchi ya middle economy inatangaza njaa, nchi INA gap kubwa kati ya maskini na tajiri alaf anakwambia middle economy hehehhe kwa kujisifia tu hawajambo
Halafu madaktari wa umma wanaotibu watu masikini wakenya wanagoma zaidi ya robo mwaka mahospitali yamefungwa..... Mungu tunaomba uingilie kati.
 
is this dar or london?....this can't be dar...haiwezekani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
unakataa au macho yatoe matongotongo....hii ndio 2017 mpaka 2020 akili zitakaa vzr sisi hua hatujisifu kama mademu
 
Go ask your English teacher, that's if you have one.
Acha kujishaua hapa wewe! Ulidhani unanikomoa kumbe unajikomoa!

Halafu akili yako ilivyo fupi unadhani kiingereza ndo kila kitu[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
The South Beach Resort has six (6) basic and different types of custom designed detached houses, primarily differentiated on floor and plot sizes and the facilities offered in each type. Each house type was designed to have its own characteristics different from others
house type 1
obliqueview-1.jpg


Type 2 houses were designed with a built up area of 150sq. meters including 3 en-suite bedrooms, bathroom, lounge, kitchen/breakfast, dining room, storage, utility, veranda and car port
house2.jpg

type2-1.jpg



Type 3 Houses designed to cover 200sq meters including 3 en-suite bedrooms, lounge, kitchen/breakfast, dining room, storage utility, car port and cloakroom
Type3c.jpg




Type 4 A scheme comprises of 110 houses of different types and sizes. House Styles from Type 1 to type 6 are Arabic, Swahili, Modern, Mediterranean:

■type one – two bedroom bachelors quoters
■type two – three bedroom quoters
■type three – three bedroom double story quoters
■type four – four bedroom double story quoters
■type five – four bedroom double story quoters
■type six – four bedroom double story beach view
type4.jpg

type4house.jpg

htype4.jpg

landplan-icon_0331_2_3Enhancertype4.jpg
 
dah ndugu zangu wakenya......msichukulie kama hapa dar hakuna kinachofanyika kama jinsi akili zenu zinavyofikiri.....taifa lolote lile linamipango yake si nyinyi pekee wenye mipango ila napoona mnavyofikilia kama ninyi ndyo mwajenga peke yenu aisee nafurah sana ....kwan ndyo tunapata nafasi yakujenga zaidi kimya kimya .....ile mkishtuka tu mpo nnje...ya mstari
ila nachowakubali ni mnatumia nguvu kubwa sana kujitangaza huku sis wala hatuna presha kwan tunajua kabisa kama kizuri chajiuza kibaya chajitembeza....tume relax mpaka raha
 
Back
Top Bottom