Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa watu wa kigamboni wana ferry tatu sasa..mv magogoni, mv kigamboni na new mv kazi wanaraha ilioje hakuna kujazana kama likoni mombasa utasema wamebebwa kondooo na mbuzi
0.PNG
00.png
000.jpg
 
Kurudia pics ndio unapenda mara tano kila siku
Sisi tukirudia unalalamika....stupid toddler
 
Hiyo Nairobi ni mjumuiko wa zile slums kama Kibera, Korogocho, Mathare, Gutherei, Umoja....au ????? 😀😀😀😀😀😀

Eeeh.... Ni nafuu kuliko Manzense, Gongolamboto,, Murahati, Mabibo, Tandale, Mwananyamala kwa Kopa na Magomeni...... Tehehehee. Shenzi type
 
Eeeh.... Ni nafuu kuliko Manzense, Gongolamboto,, Murahati, Mabibo, Tandale, Mwananyamala kwa Kopa na Magomeni...... Tehehehee. Shenzi type
matus huwez kuacha kwasabbau akili yako haitaki kuamini kile macho yako yanaona hahahahahahahah
 
Back
Top Bottom