Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 11,634
- 34,314
Mwanza my second home.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja SGR ifike huko weekends tutakuwa tunapumzika beaches za lake victoriaNgoja nikusogezee karibu . Mwanza tamu bhana. 👇🏾View attachment 3254818View attachment 3254819View attachment 3254821View attachment 3254822mansions zinajengwa juu za rocks. 👇🏾View attachment 3254823this is around 1000+ km, very far from Dar es Salaam.
Serikali unafanya KAZI kwa tender na mwenye bei ndogo ndo Huwa anashinda. Kuumbuka mtu anapoamna tender anaweka na cha chuu na mara nyingi lazina kiwe kingi sabab malipo ya serikali mara nyingi huchukua muda mrefu.
Today was fireworks in the Oval Office between President Trump and VP Vance on one side against Ukraine President Zelenskyy. It turned into a shouting match . Zelenskyy got kicked out of the White House. Never seen anything like this in my political lifetime. It’s the talk everywhere here. This gonna be studied in history books…wild day in American Politics… as Americans say , Trump was like a bull in Chinatown..😁
It was really bad. Embarrassing.
Ila mbona haya mambo yapo awamu zote au tumesahau ya kina polepole . Kitu pekee kinachoonekana ni kwamba tunalinganisha na aliyepita ila hamtaki tuongelee negativity za aliyepita.Ndiyo maana nashangaa Korogwe watu wanatoka kwa mama na nakatoni ya maji na paceli ya msosi
Serikali unafanya KAZI kwa tender na mwenye bei ndogo ndo Huwa anashinda. Kuumbuka mtu anapoamna tender anaweka na cha chuu na mara nyingi lazina kiwe kingi sabab malipo ya serikali mara nyingi huchukua muda mrefu.
Chukulia mfano kwenye ujenzi tu kwenye ujenzi matofali mara zote yanayotakiwa ni Yale walau ya mfuko mmoja kwa tofali 25 wakati mtaani ujenzi wa hivyo ni hasara tu.
Tukija kwa mfano street lights Kuna taa nzuri tu za mpaka 400,000 kwa watts 500 lakini ukigusa zilizowekwa kwenye barabaran nyingi bila hata nguzo unakuta zinaenda mpaka 1.2mil kimtaani ukiweka na gharama ya ujenzi na cha juuu kwa mzabuni SI ajabu ikafika 3mil .
Sio Kila kitu ni kupinga ukitaka tender za serikali hata wewe unaweza ukabid.
Kama utakubali kuingia kwenye tender kwa bei ndogo ila ukaja kulipwa baada mwaka karibu
Mimi mpaka Leo sijaona Yale mabehewa ya ghorofa used tuliyonunua mwaka 2019 kwa cashUko sahihi.. NEST kuna tender kibao... Na mara nyingi kandarasi nyingi za serikalini huwa wana Ongeza bei kutokana na utaratibu wa malipo ulivyo. Pia wakati mwingine kuna kuwa na variations ambazo zina pelekea gharama za mradi kuongezeka.
Kuhusu ishu ya Kariakoo na hizo kamera ofisi ya Mkurugenzi Jiji ilishatoa ufafanuzi. Sio kamera 40 pekee za Kko ndio zita gharimu hiyo milioni 500+ hiyo hela ni jumla ya fedha zote za kufunga kamera CBD plus Kkoo... Hapo ni kamera na control rooms zake na facilities zote kama nyaya, kompyuta na installations fee.
Project ni kamera kwa CBD Yote na Kkoo ikiwepo, na gharama ndio hiyo 514m.
In Nairobi people don’t have to help themselves in through the windows thoughKwani rush hour public transport ikoje Nairobi? What I know in most cities rush hour buses/trains/trams are crammed and its understandable.
Kwenye picha uliyopost ni nani anaonekana anaingia kwenye gari kupitia dirishani.?In Nairobi people don’t have to help themselves in through the windows though
Did that photo show anyone going through the window? Eti in Nairobi...wtf is Nairobi? Have you seen Dubai metro during rush hour? Or London underground or Tokyo metro during rush hour? We ain't talking about Matatu hereIn Nairobi people don’t have to help themselves in through the windows though
Ha ha ha unajua nilitaka nimwambie wewebutawezana na Sama boyKwenye picha uliyopost ni nani anaonekana anaingia kwenye gari kupitia dirishani.?
You asked how does rush-hour in Nairobi compare, that aspect doesn’t have to be seen in the picture I posted. Anyway, is it a misconstrued statement?Did that photo show anyone going through the window?
Mimi mpaka Leo sijaona Yale mabehewa ya ghorofa used tuliyonunua mwaka 2019 kwa cash
I hope you no longer compare this to Mombasa.. 🤣.. btw .. too many trees 🌲 in Mwanza( lovely), but it’s ironic how you are anti trees for Nairobi.. nyinyi hamna msimamo … you blow with the wind..😁
Umefanya vizuri. Sasa tunajua Mwanza ni ndogo kuliko Bungoma. Kwanza vile lami zinahesabika.
Tukishafikaga hapa utaona wanakuambia tusifukue makaburi.Sijui ile kesi iliisha vipi...