concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
not recognized by fifaKasarani is better than any Stadium in Vumbistan, don’t just mention its name anyhow.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
not recognized by fifaKasarani is better than any Stadium in Vumbistan, don’t just mention its name anyhow.
ichoboy01 atanuna baada ya kuona huu Mkopo kutoka South Korea 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DGqUnFCvy0T/?igsh=dXprbGNuc2licmFn
Nimemuuliza walitoa hela vichwa na mabehewa Yako wapi? 😂😂Sasa kama havijaja na vilinunuliwa kipindi cha mwendazake Tena kwa cash kwa gharama ya hizo mpya na hivi vipya mkataba wa manunuzi ukaingiwa mwaka 2021/08/1
Una hakika gani kama magu wenu hakutupiga chenga. Huo ni mfano wa wizi aliokuwa nao .
Kumbe zaid ya mabehewa mapya 59 na emu 10 na mabehewa 200 ya mizigo yalionununuliwa miaka miwili baada ya magu kununua used yameshafika.
Happ nani mwizi?
Mbona imechaguliwa to host CHAN and AFCON? Ama hizo ni tournaments za Vumbistan?not recognized by fifa
Ndo maana nimekuuliza ilitakiwa iwe imekamilika lini mpaka Leo chan imesogezwa mbele kwa sababu yenuMbona imechaguliwa to host CHAN and AFCON? Ama hizo ni tournaments za Vumbistan?
Sawa awamu iliyopita ilifanya ufisadi mkubwa lkn ilileta miradi tunayotamba nayo humu na kwingineko, kama serikali itafanya miradi kama hii alafu inafanya ufisadi basi mm nitakuwa wa kwanza kuipigia kura, lkn sio ufisadi wa kikwete na wenzake, mwisho wa siku tunaletewa neti.Ila mbona haya mambo yapo awamu zote au tumesahau ya kina polepole . Kitu pekee kinachoonekana ni kwamba tunalinganisha na aliyepita ila hamtaki tuongelee negativity za aliyepita.
Tunapenda tusikie ufisadi wa mama ila akiguswa aliyeondoka kama reference ni vita.
Ufisadi uliofanyika penzi za mwendazake ni mkubwa kuliko awamu zote na miradi mingi ilisimama ila kwa sababu ni malaika hatakiwi kuzungumzwa
Kwani miradi Nchi hii ya kutamba nayo haipo? 😂😂Sawa awamu iliyopita ilifanya ufisadi mkubwa lkn ilileta miradi tunayotamba nayo humu na kwingineko, kama serikali itafanya miradi kama hii alafu inafanya ufisadi basi mm nitakuwa wa kwanza kuipigia kura, lkn sio ufisadi wa kikwete na wenzake, mwisho wa siku tunaletewa neti.
Ushafuatilia kaguzi za hiyo miradi ?Sawa awamu iliyopita ilifanya ufisadi mkubwa lkn ilileta miradi tunayotamba nayo humu na kwingineko, kama serikali itafanya miradi kama hii alafu inafanya ufisadi basi mm nitakuwa wa kwanza kuipigia kura, lkn sio ufisadi wa kikwete na wenzake, mwisho wa siku tunaletewa neti.
PS I just went with your assumption of it being rush hour which you are now stuck on while no one said that the picture was taken during rush hourRush hour in cities with metro or brt like Dubai,Tokyo,Dar is not the same as in a city full of Matatus. Otherwise you wouldn't be surprised seeing a crammed brt bus.
Ndio maana nakuambia Kasarani is better than all stadiums in Vumbistan.Ndo maana nimekuuliza ilitakiwa iwe imekamilika lini mpaka Leo chan imesogezwa mbele kwa sababu yenu
Haha at what context kwa mfano maana hata kukamilika badoNdio maana nakuambia Kasarani is better than all stadiums in Vumbistan.
Sawa awamu iliyopita ilifanya ufisadi mkubwa lkn ilileta miradi tunayotamba nayo humu na kwingineko, kama serikali itafanya miradi kama hii alafu inafanya ufisadi basi mm nitakuwa wa kwanza kuipigia kura, lkn sio ufisadi wa kikwete na wenzake, mwisho wa siku tunaletewa neti.
Wapi abiria kaingia kupitia dirishani? Mbona unataka kufosi maisha yenu yawe kama yetu? Hujawahi kuona brt ikijaa zaidi ya hivyo? Au nikuwekee picha za nje ili uone ujinga ulionao, yn brt ya Tanzania inawauma sn na bado mtaendelea kuumia sisi hatujali, tunaendelea kupiga panapouma.In Nairobi people don’t have to help themselves in through the windows though
Coz I know what it's like during off peak.PS I just went with your assumption of it being rush hour which you are now stuck on while no one said that the picture was taken during rush hour
Mkuu hivi unajua miradi hiyo yote ilipangwa hata kabla ya ujio wa magu ? Ukitaka discussion nzuri na constructive kubali nasi tutoe negativity za unayemsifia . Hakuna kipya kwa jpmUchawa na kusifia ndiyo kitu wanacho kipenda hawa machawa kama JPM alikuwa fisadi kwangu mm angeiba tu bila yeye hakuna Sgr ya umeme, Atcl, JPM bridge, mv mwanza, bwawa la Nyerere, serikali kuhamia Dodoma, plan ya msia airport, wami bridge, ikulu Dodoma, walivyo wasenge watakwambia hakukamilisha je nani alizianzisha bila kujali mikwala ya mabeberu kazi ilifanyika bila kujali nani anataka nini
Machawa achana nao hao, na mm sitoacha kuwakumbusha hata wakijifanya wehu. Hawa ni ma CCM pro yaliyovamia huu uzi, yenyewe yapo radhi hata kiongozi akikosea lkn asiikosoe CCM, ni majitu yanasababisha hali inakuwa ngumu sn kisa yenyewe yanapewa visenti fulani. Hivi mtu mzalendo mwenye akili zako timamu kabisa unaweza kumuweka jakaya kwenye level za Magu, au mama kwenye utwala bora? Kwa kipi hasa? Mambo yapo hadharani huhitaji kwenda chuo, na wajue kabisa watanzania wa sasa sio wale waliowazoea.Uchawa na kusifia ndiyo kitu wanacho kipenda hawa machawa kama JPM alikuwa fisadi kwangu mm angeiba tu bila yeye hakuna Sgr ya umeme, Atcl, JPM bridge, mv mwanza, bwawa la Nyerere, serikali kuhamia Dodoma, plan ya msia airport, wami bridge, ikulu Dodoma, walivyo wasenge watakwambia hakukamilisha je nani alizianzisha bila kujali mikwala ya mabeberu kazi ilifanyika bila kujali nani anataka nini
Sawa awamu iliyopita ilifanya ufisadi mkubwa lkn ilileta miradi tunayotamba nayo humu na kwingineko, kama serikali itafanya miradi kama hii alafu inafanya ufisadi basi mm nitakuwa wa kwanza kuipigia kura, lkn sio ufisadi wa kikwete na wenzake, mwisho wa siku tunaletewa neti.