Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa inafanya hio Mwanza yako ifanane kijiji. Hii pia utalia ni filters lakini wewe ukipost Mwanza na filters unataka tukusifu.

No photo description available.
Hii takataks full of old biuldings 🤣🤣🤣 Mabati chakavu all around the city.
 
Kwanini wewe unapenda kujidanganya. .? 🤣🤣🤣🤣. Wenzako ni wajinga ila wewe ni mpumbavu.
Wewe toka hapo Tandale utembee ulimwengu ndio hiyo ignorance yako ikutoke kijana mbilikimo. Niliona juzi ukajikaza ukafika Moshi, jaribu next time uvuke border. Ujinga utakutoka tu, usijali.
 
Kumbe uliamua kujifanya kama haupo nilipopost hizi picha kwa uoga tu.? 👇🏾View attachment 3255677🤣🤣🤣 je ni kweli unaniogopa.?
Ataogopa hicho kidevu bila ndevu ama hizo nyororo feki ama huo ufupi wa nyundo? Kuna uwezekano maisha yako umekuwa ukitamanani kuogopwa sana maanake huna chochote ya kuogopwa.
meddy_clever_161487646611960-jpg.3235492
 
Ataogopa hicho kidevu bila ndevu ama hizo nyororo feki ama huo ufupi wa nyundo? Kuna uwezekano maisha yako umekuwa ukitamanani kuogopwa sana maanake huna chochote ya kuogopwa.
meddy_clever_161487646611960-jpg.3235492
Seems unatamani kunijua, heb kwanza nikuone sura yako. Naanza kuzielewa hisia zako. Njoo inbox nikuone hopeful takuonea huruma. 😆
 
This is Staples Arena in Los Angeles you idiot. Home to the LA Lakers. Wewe utapata wapi ujuzi wa kudesign? Hata choo cha shimo unaweza design wewe kilaza?
Ungeacha tu anijibu, Nilikuwa nataka kumshika. Watanzania huwa wanapenda fake life sana, Huyo sasa alikuwa anajaribu kudanganyana ati amedesign hiyo arena.
 
Back
Top Bottom