tofaut ya mwanza na mombasa ni
mwanza ni modern city while mombasa is just old fucking city, mwanza huwez kuta slums za ovyo zimezagaa while mombasa imezunguka na slum mpaka CBD, mwanza hakuna nyumba za tope while mombasa over 70% majengo mengi ni ya tope, mwanza ina modern bus terminals and markets za kutosha, mwanza imepangika na ni second cleanest city in tanzania while mombasa is among worse cities on planet ( uchafu na kunanuka all over)
mwanza ina modern paved streets while mombasa mpaka uwashe torch mchana ndio utazipata 😂😂😂😂😂